Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Listen, mkimaliza huo mradi, anzeni kutuuzia gas, Tutanunua. Nisilojua Ni Kwamba sijui kwanini unaona hatuna raha Uchumi wenu ukiendelea. I can't help you hapo.
sio tuanze kuwauzia sisi ndio tunawauzia gas mpaka sasa hvi tunavoongea hata baada yakupiga marufuku haikuzaa matunda kwasababu gas munahitaji sana,
sisi tutawaletea bomba kabisa ili mtupe pesa za kigeni kwa wingi tuwapunguzie chuki😀😀😀
 
wakenya mna roho mbaya sana na chuki,
Believe you did your research and you have a conclusion. Hakuna shida kuitwa mwenye roho mbaya Wala kuwa na chuki. If any of these affect your economy I guess you should be concerned and if not then sioni haja ya nyinyi kusumbuliwa na wakenya. Waacheni na taabu zao.
 
pain itakuja pale mtakapongeza ununuaji wa gas tanzania kwasababu mkaa mumepiga marufuku ambayo imeongeza maisha kua ghali sasa sisi tutawauzia gas na kuongeza uchumi wa taifa huoni raha hapo😀😀😀😀😀😀😀
na feasibilty study imeshafanyika ya bomba la gas kutoka tanga kwenda uganda ambalo litakwenda parallel na bomba la mafuta linalotoka uganda😛😛😛😛😛
Lita, ita huu wimbo mtaacha lini😀😀😀😀😀😀
 
sio tuanze kuwauzia sisi ndio tunawauzia gas mpaka sasa hvi tunavoongea hata baada yakupiga marufuku haikuzaa matunda kwasababu gas munahitaji sana,
sisi tutawaletea bomba kabisa ili mtupe pesa za kigeni kwa wingi tuwapunguzie chuki😀😀😀
Okey
 
Hata hii ni zamani sana wapi uap, kcb, britam
Ipi ya zamani Monkey eater Bottas ?? 😀 Huoni towers gani ?? Wakenya always hamuoni. Hata Uhuru hakuziona zile Diesel Trains😀
Screenshot_20180424-134955.png
 

Attachments

Two brothers of Dar-es-Salaam, Tanzania
Tanzania for a 3 part series featuring Somali entrepreneurs changing Africa! We'll meet two brothers, a chef, wealthy real estate investor & the lady running tourism in Kilimanjaro with 8 hotels she owns!
In this episode, meet two successful brothers who rebuilt their lives in Tanzania after the Somali civil war!

Source : INTERGRATIONTV
 
Bottas maisha yake ni tricky sana. Yeye namvua nikama samaki na maji. Hii season ndipo inatengeneza pesa mob.😀😀 Namuona yule Bottas anakimbia makarao wasimshike😀😀View attachment 755376
Hehe mimi mkaaji wa karen uwezi nipata uswazini pilka zangu ni uptown ... ..Kodi yangu ya nyumba mwezi moja inakulipia kodi yako karikoo miaka mbili😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom