Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua kitu funny ni Africa kuna country moja tu yenye imejaa wajinga.... Tz...... Niambie country gany inatumia kiswahili entirely Kama hio BONGO LALA YENU.... Kama Uganda wanaongea English na bado wako na kiganda yao Nigeria pia Congo ni French nyinyi mko DUNIA yenu.... aty maths mnafunzwa na kiswahili..?? Nkt! Kumaanisha mtoto WA class 3 kenya akifika Tz anakuwa Doctor
Sometimes, try to hide your ignorance
 
Lete picha inayoonyesha wapi GDP yenu inakokwenda, kwanini Nairobi hakuna ,aji, hakuna good drainage system, full of slums na hakuna kazi kwa vijana.
CIA world fact book inaeleza kua almost half of Kenya's population is below poverty line ( 40% + of population). Kenya ina GDP kubwa kwasababu ya foreign investors. Kenya ina unemployment rate kubwa ( almost twice) that of Tanzania. Earlier this year Tz ilishinda tuzo ya uchumi shirikishi Africa, maana yake watz wanamiliki uchumi wao. Wanaolalamika hali mbaya tz wakienda Kenya wanakua afadhali.
 
Unajua kitu funny ni Africa kuna country moja tu yenye imejaa wajinga.... Tz...... Niambie country gany inatumia kiswahili entirely Kama hio BONGO LALA YENU.... Kama Uganda wanaongea English na bado wako na kiganda yao Nigeria pia Congo ni French nyinyi mko DUNIA yenu.... aty maths mnafunzwa na kiswahili..?? Nkt! Kumaanisha mtoto WA class 3 kenya akifika Tz anakuwa Doctor
Wacha kutusi kiswahili na bado ndio untunia *****...... Japan ,korea,china hawaongei kizungu wacha fikra za utumwa.
 
CIA world fact book inaeleza kua almost half of Kenya's population is below poverty line ( 40% + of population). Kenya ina GDP kubwa kwasababu ya foreign investors. Kenya ina unemployment rate kubwa ( almost twice) that of Tanzania. Earlier this year Tz ilishinda tuzo ya uchumi shirikishi Africa, maana yake watz wanamiliki uchumi wao. Wanaolalamika hali mbaya tz wakienda Kenya wanakua afadhali.
Leta hio evidence ya cia na unemployment.. Wacha kutoa statements kutoka kwa mkun*du wako .
 
Lagos GDP $90bn
Kenya GDP $63b
63 ilikuwa 2015 kwa sasa gdp yetu ni $
IMG_20180418_210848.jpg
88bn
 
Nmeshaiona iyo uzi mnawadanganya na nn sasa wkat Dar imewasumbua hadi Leo hamjitambui mnatokea kila kona kuja kuangalia vile mmepigwa nyundo za pua. ..
Mbona hamtuambii tufike cbd? Venye tu mnaleta picha za cbd leteni za iyo mitaa hatutaki kufika juu ni mdomo tu unapiga😀😀😀😛😀😀😀😀Yaani pages 4000 mnarudia rudia cbd hadi inatia aibu, dar ni mji wa watu milioni 6 wale wanaoishi hapo cbd ata hawafiki 500k sasa tunataka kuona kwenye milioni 5.5 wanaishi plus pia utuletee izo picha za ringroad zinajengwa *****.
 
Mbona hamtuambii tufike cbd? Venye tu mnaleta picha za cbd leteni za iyo mitaa hatutaki kufika juu ni mdomo tu unapiga😀😀😀😛😀😀😀😀Yaani pages 4000 mnarudia rudia cbd hadi inatia aibu, dar ni mji wa watu milioni 6 wale wanaoishi hapo cbd ata hawafiki 500k sasa tunataka kuona kwenye milioni 5.5 wanaishi plus pia utuletee izo picha za ringroad zinajengwa *****.
dar es salaam ina watu 4.5 to 4.7m
nairobi ina watu 4m apprx

lakini kilichoniskitisha zaidi kibera pekee ina watu 2.5m people 😀😀😀😀 sijagusa slum zingine hapo kama makuru kayaba ina watu 700k mathare 500k etc
 
CIA world fact book inaeleza kua almost half of Kenya's population is below poverty line ( 40% + of population). Kenya ina GDP kubwa kwasababu ya foreign investors. Kenya ina unemployment rate kubwa ( almost twice) that of Tanzania. Earlier this year Tz ilishinda tuzo ya uchumi shirikishi Africa, maana yake watz wanamiliki uchumi wao. Wanaolalamika hali mbaya tz wakienda Kenya wanakua afadhali.
uhalisia huu manyangau hayaelewi hata kidogo, wao ni kushangilia viwanda na mahoteli makubwa ya wazungu tu!
 
Back
Top Bottom