Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Downtown Dsm
Screenshot_2018-04-08-22-59-10-1.jpg
 
kwani uongo bro? 😀😀😀😀nyie hata the most learned people speak poor broken english...kuna judge flani aliandika vituko kwenye barua sijui hio barua iko wapi...imagine yule ni jaji...duh! kwa hiyo mwimbe tu lugha mnayoijua msije mkajiaibisha😀😀😀
kwani we jamaa waingereza walikufanya nini??mbona wapenda sana lugha ya wenzako??
 
There are many apartments,hotels and offices 10flrs and above which have topped out and still underconstruction in kisumu,which have never been shown here.kisumu,nax and eld r always in a compe tuition to occupy the slot of the 3rd largest city In kenya.from an opinion Nakuru is more developed than all of them.tunawakaribisha wenzetu watanzania coz I see them relying too much on photos which do not show the real developments of many areas. "Karibuni Kenya Kenya hakuna matata"
 
CBD ya Dar utawapata hata watu waliovaa towel wanaenda kuoga..wengine wanauza mtura na samaki pale sokoni..wengine wanapiga stor vijiweni...wengine wana miswaki mdomoni..hii yote inatendeka hapo hapo CBD karibu na PSPF na TPA ambapo utawapata waliovaa suti wanafanya official work...sasa unashindwa hii ni CBD au ghetto?😀😀😀wamechanganyikiwa hakuna hata mpangilio...CBD ikona takataka aina yote..
Dar is a backward unplanned city. Its like an urbanised village
 
CBD ya Dar utawapata hata watu waliovaa towel wanaenda kuoga..wengine wanauza mtura na samaki pale sokoni..wengine wanapiga stor vijiweni...wengine wana miswaki mdomoni..hii yote inatendeka hapo hapo CBD karibu na PSPF na TPA ambapo utawapata waliovaa suti wanafanya official work...sasa unashindwa hii ni CBD au ghetto?😀😀😀wamechanganyikiwa hakuna hata mpangilio...CBD ikona takataka aina yote..

Dar is an African city which embraces an African culture, what's wrong with that?
 
This complex alone is enough tall buildings for a small city!! Really cool. Loading soon pale Westlands🙂🙂
39513768510_65f8019d4d_o.jpg
 
Wakati wakenya wakiendelea na kupiga miayo

KAMPUNI YA CEMENT YA TAJIRI DANGOTE YAMWAGA AJIRA KIBAO... MPYAA KWA WATANZANIA LEO HII

APPLY SASA, FUATA LINK NA SHARE KWENYE MAGROUP MENNGINE ZIWAFIKIE NDUGU NA JAMAA MARAFIKI

✳SIFA KUANZIA CERTIFICATE MPAKA DIGRIII

WANAHITAJIKA HITAJIKA HARAKA SANA

✅Technicians and Junior Technicians
✅Engineer,CCROperators
✅Junior Engineers
✅Quality Assurance Officers
✅Welders
✅Forklift Operators
✅Dumper operators
✅Packing plant control desk ,Operators/Rotary ✅packing Machines Operators/Pickin gofficers
✅Managers
✅Engineers
✅Junior Engineers
✅Technicians and Junior Technicians
✅Head of Information Technology(IT)
✅Information Technology Officer(IT) Officers
✅Corporate Communication Officer
✅Legal Managers
✅Legal Officers
✅Weigh bridge Operators
✔Risk Officers
✅Human Resources Managers
✅Human Resources Officers
✅Fleet Officers/Logistics Officers
✅Sales and Marketing officers
✅Store Keepers/purchase officers
✅Materials Engineer
✅Security Officers
✅Chief Security Officer
✅HSE Managers
✅HSE Officers
✅Risk Managers

Tuma Maombi Yako Kabla Ya Tarehe 12 April 2018

Bofya hapa kujua zaidi na kuApply
New Job Vacancies at Dangote Cement Limited,Tanzania, Mtwara | 2018

Nafasi 8 za Kazi Sales Executives - Tanzania Postal Bank (TPB), Mwisho wa Kutuma Maombi ni Tarehe 17 April , 2018 Nafasi 8 za Kazi Sales Executives - Tanzania Postal Bank (TPB), Mwisho wa Kutuma Maombi ni Tarehe 17 April , 2018

18 Vacancies at The Tabora Urban Water Supply and Sanitation Authority 18 Vacancies at The Tabora Urban Water Supply and Sanitation Authority

BoFYA HAPA KUONA MAFASI NYINGINE ZA KAZI ZILIZO TANGAZWA LEO
https://bangomagz.com/Opportunities/category/jobs/tanzania-jobs/



https://bangomagz.com/Opportunities/ajira-dangote-2018/
Niliona umepigwa makonde kwa uzi wahttps://www.jamiiforums.com/threads/watanzania-tunaimba-viwanda-mdomoni-kenya-wanajenga-viwanda.1426755/😀😀😀😀😀😀😀
 
kwanza tumalize unakimbia wapi umesema CBD ya dar haina mpangilio sasa hawa wakina mama wanaotandika biashara zao chini ndan ya CBD unalizungumziaje?? huo ndio mpangilio😀😀😀😀😀😀
Kubali ukipigwa chenga...data is louder😀😀😀 than your mouth. Hebu angalia hiyo rangi na ulinganishe na ya LDC tanzania
 
sawa "sheli" na sikulaumu kwa kuandika "nonsense" kwa vile wewe ni wa Dar ndio neno kubwaa unalojua kwa hiyo lugha njooni nairobi muone shell original sio hizi za waarabu wenu oilcom ati nayo ni sheli,cameloil eti ni sheli sijui GBP mara lakeoil yaani waarabu wamewapakata kiuchumi. Kweli hivi hamjui SHELL ni nini mpaka vituo vya mafuta vinaitea sheli. Hata hiyo yenu pia inata hizo vituo ya mafuta sheli ni mkubea bwanaaa yeye pia hajui

We call them "sheli" because back in the days, SHELL used to dominate gas station business in town, hence that name sticks to this day.

You must be such a brainwashed individual to laugh at us for calling a gas station, "sheli" without first educating yourself the history of it.

In your gullible world, you are so happy to say "pampers" instead of diapers and "Kleenex" instead of tissue because Americans call them that, forgetting they are just name brands that stuck in people's ears over the years. You will be that person who beat up his chest to say "google it" instead of "search" and be surprised to hear someone says, naenda sheli?

Acha ushamba wewe mtu wa ushago!
 
tazama Nairobi CBD watu walivo...huwezi ukawaona watu wamebeba mitungi kichwani kana kwamba wanaenda mtoni😀😀😀😀😀
kenya-nairobi-a-busy-morning-street-scene-in-mama-ngina-street-nairobi-BFN0MT.jpg
kenya-nairobi-a-busy-morning-street-scene-in-mama-ngina-street-picture-id125225377

Wewe jamaa kumbe bonge la limbukeni...yaani kuvaa hivi ndo maendeleo?
 
Back
Top Bottom