Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

THIKA
37361500455_cb8ca3c2d6_b.jpg


37171164426_9922d0904b_b.jpg


37361504935_1a5de2caf4_b.jpg


36964074980_008112ed45_b.jpg
 
hii thread imewafungua sana macho wakenya leo hii wamepata kutambua kumbe tanzania sio ile waliokua wanaiwaza na hii ni just 10yrs of developments sasa picha kamili itaanza mwakani na kwanzia 2019 wakenya wengi watakimbia hii thread😀😀😀😀😀
 
Tujenge nchi.
Nchi inajengwa kwa namna yoyote. Sisi vijana wazalendo tutaipigania nchi yetu kwa namna yoyote. Tutajenga nchi yetu, iwe kwa hira, fitina, kupigana au kufanya kazi. Nchi hii lazima isonge mbele. Tupo vijana waliotayari kujenga ncho yetu.
 
Back
Top Bottom