Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio kila ndoo ni ya maji, mbona hujasema wamebeba rangi, Hao akina mama ni wajasiriamali wanatoka kuchukua samaki feri na Hapo wanaelekea kituo cha Bus cha stesheni nyuma ya hayo Majengo.
Tatizo hawa jamaa wanacopy na kupaste liftstyle za wazungu
 
Hivi wewe Msukuma tangu lini ukawa Mswahili? Hivi unawajua Waswahili ni akina nani wewe?
Mswahili ni mtu mwenye kiwango kikubwa cha umilisi wa lugha ya Kiswahili. Vile vile ni mtu ambaye amefungamana sana na mila na desturi za jamii ya watu watumiayo lugha ya Kiswahili. Kwa hiyo ukiniita mimi Msukuma halafu ninakidhi hivyo vigezo basi mimi moja kwa moja ni Mswahili.
 
So waswahili huteka maji katikati mwa jiji? Hata Mombasa ni mji wa waswahili lakini sijawahi ona mambo kama haya kule
Siyo kila abebaye begi ni msafiri, vile vile siyo kila abebaye ndoo kichwani ametoka kuteka maji.
 
Hahaha this is soothing na ninasikia mkopo wa reli waliwekea Mombasa port kama bond na mpaka time hii SGR from Mombasa to Nairobi ni hopeless no cargo is ferried through the line

Wafanyabiashara wamekomaa na malori hakuna mtu anataka kupakia mzigo kwenye SGR due to fast killing prices nasikia wachina watajinyakulia Mombasa port very soon ili wachume deni lao mapema hahaha mambo ni moto huko Harambee house nasikia Uhuru halali yupo kama bundi
atalala wapi we unafkiri mchezo 4b usd msa to nairobi alf munaletewa reli na treni za miak 100 iliopita yani ushuzi mtupu dunia inakwenda mbele wao wanarudi 100yrs back
 
kwani uongo bro? 😀😀😀😀nyie hata the most learned people speak poor broken english...kuna judge flani aliandika vituko kwenye barua sijui hio barua iko wapi...imagine yule ni jaji...duh! kwa hiyo mwimbe tu lugha mnayoijua msije mkajiaibisha😀😀😀
kwasababu sio lugha ya taifa😀😀😀
 
So waswahili huteka maji katikati mwa jiji? Hata Mombasa ni mji wa waswahili lakini sijawahi ona mambo kama haya kule
hujawah ona nn wakat matoroli ya kuuza maji yanaingia mpaka city center mombasa au nikuletee ushahidi hapa😀😀😀😀
 
wamelitambua asanten sana
8A1D48BA-D1FA-4090-A8FB-A88773D402C3.jpeg
 
Ni uwongo.............

Halafu mbona english ni lugha yakawaida sana lakini chaajabu huko kwenu mnaisujudu
ni vizuri kuchanuka kidogo bro...kiingereza kwa sasa ndio lgha ya dunia..sasa nyie mkijikwamua tu na lugha moja mtafanya biashara kivipi? sio kwamba tunakienzi kiingereza kuliko lugha zetu ila ukweli wa mambo ni kuwa kiingereza ndio lgha ya kimataifa katika karne hii...ndio maana mnapitwa na mabmo mengi sana...hivi haujajua mpaka wachina wameanza kujifunza kiingereza?
 
sasa wameenda kuchota maji CBD au?😀😀😀😀 yaani nyie jamaa kwa ulimbukeni hamjambo duh!! mtu amebeba sijui nini kichwani ilhali hapo karibu naiona PSPF😀😀😀...hivi ina maana mtu anaingia kule ndani na maleso na mitungi kichwani au?
 
CBD ya Dar utawapata hata watu waliovaa towel wanaenda kuoga..wengine wanauza mtura na samaki pale sokoni..wengine wanapiga stor vijiweni...wengine wana miswaki mdomoni..hii yote inatendeka hapo hapo CBD karibu na PSPF na TPA ambapo utawapata waliovaa suti wanafanya official work...sasa unashindwa hii ni CBD au ghetto?😀😀😀wamechanganyikiwa hakuna hata mpangilio...CBD ikona takataka aina yote..
 
Hahaha this is soothing na ninasikia mkopo wa reli waliwekea Mombasa port kama bond na mpaka time hii SGR from Mombasa to Nairobi ni hopeless no cargo is ferried through the line

Wafanyabiashara wamekomaa na malori hakuna mtu anataka kupakia mzigo kwenye SGR due to fast killing prices nasikia wachina watajinyakulia Mombasa port very soon ili wachume deni lao mapema hahaha mambo ni moto huko Harambee house nasikia Uhuru halali yupo kama bundi
I hadithi yote umetoa kwa mkundu"?we niwakuhurumiwa
 
CBD ya Dar utawapata hata watu waliovaa towel wanaenda kuoga..wengine wanauza mtura na samaki pale sokoni..wengine wanapiga stor vijiweni...wengine wana miswaki mdomoni..hii yote inatendeka hapo hapo CBD karibu na PSPF na TPA ambapo utawapata waliovaa suti wanafanya official work...sasa unashindwa hii ni CBD au ghetto?😀😀😀wamechanganyikiwa hakuna hata mpangilio...CBD ikona takataka aina yote..
Acha kutumia nguvu kubwa kwenye ujinga
 
Acha kutumia nguvu kubwa kwenye ujinga
hahaha mambo bro...lakini mnieleze tu hii CBD yenu mbona haina mpangilio? hivi ushawahi kuskia uptown na downtown? nawaona akina mama na maleso yao huku wamebeba mitungi kichwa ni wapo CBD et😀😀😀 duh!😀😀😀 wameenda kuchota maji kule au?
 
Back
Top Bottom