Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Rudi nyuma miaka kumi iliyopita angalia GDP ya hizi nchi mbili zilikuaje, kuanzia hapo Tanzania ilkuwa kwa kasi ya 7%, na Kenya wastani wa 5.5%, piga hesabu kwa kutumia akili yako, acha kusikiliza habari za kwenye mitandao, shule uliyokwenda ni lazima uitumie kila sehemu, sio kwa ajili ya kuomba kazi tu, vinginevyo utaburuzwa na kudanganywa na kila mtu hapa duniani.
Sio chini ya miongo 2 kufikia walipo Leo,sasa hadi Ku catchup si tutakuwa marehemu
 
Sio chini ya miongo 2 kufikia walipo Leo,sasa hadi Ku catchup si tutakuwa marehemu
Endelea kuzunguka na bahasha ya khaki kutafuta ajira, zaidi ya hilo elimu uliyonayo haiwezi kukusaidia, kumbuka kwamba elimu ni tochi inayosaidia watu wenye macho kuona kwenye giza, ila tochi haiwezi kumsaidia kipofu.
 
Aisee ubishani ndo siujui,kwamba ww huoni uzuri wa barabara za kisasa za Nairobi hadi tuanze discussion?
Sasa ulipochangia mada ulitegemea watu wakae kimya au wakuunge mkono yale yote unayosema?, kila anayechangia mawazo yake unasema ni ubishani, sasa umekuja huku kwenye JF kufanya nini?
 
  • Thanks
Reactions: nao
Umemaliza ndugu mkenya😀😀😀😀
56b vs 51.6 umeona tofaut kubwa sama
Sina uhakika kama anajua GDP ninini na inavyokokotolewa, nimemshauri arudi nyuma miaka kumi atazame GDP za hizi nchi mbili, kisha aanze kupiga hesamu kwa kutumia 7% kwa Tanzania na 5.5% kwa Kenya, hadi leo ndiyo atajua tofauti, kashindwa badala yake anasikiliza makelele ya kwenye mitandao.
 
Leteni relevant data from credible source sio kuedit taarifa
Kufa nayo hio😀😀😀😀
107B054E-B199-409D-8893-B8D68B3F7DC0.jpeg
 
Sina uhakika kama anajua GDP ninini na inavyokokotolewa, nimemshauri arudi nyuma miaka kumi atazame GDP za hizi nchi mbili, kisha aanze kupiga hesamu kwa kutumia 7% kwa Tanzania na 5.5% kwa Kenya, hadi leo ndiyo atajua tofauti, kashindwa badala yake anasikiliza makelele ya kwenye mitandao.
Huyo ni mkenya anaejifanya mtanzania achana nae tulishamshtukia since day one 😀😀
 
Hahaha.....daresalaam is not developed outside the cbd radius as common in many African countries the cbd is spruced up with some few towers and nice boulevards but when done with that small portion it's all chaos and frenzy.......Atleast Nairobi has a good number of planned neighbourhoods covering a large portion of the city...with the slum areas covering 5% of the city but all in all NBO has maintained its high rank up there in Africa because of the vibrant real estate culture and organized way of living......viva Nairobi city
well said....
BUT
for some cases kama za barabara tukiizungumzia NBO its true iko rank ya juu...

kuhusu estates hilo halina ubishi pia...

Lakini kuhusu kuendelea, Dar imepiga hatua kubwa mno, pembezoni mwa jiji kumeendelea kupita maelezo....

Unaposema Dar imejengeka CBD tuu basi bila shaka utakua hiujui Dar vizuri
Ukitoa CBD + Uswazi's places other places are superb

Isitoshe Dar ni kubwa kulinganisha na NBO kwahiyo probably ya kuendelea ni kubwa vivo hivyo
 
well said....
BUT
for some cases kama za barabara tukiizungumzia NBO its true iko rank ya juu...

kuhusu estates hilo halina ubishi pia...

Lakini kuhusu kuendelea, Dar imepiga hatua kubwa mno, pembezoni mwa jiji kumeendelea kupita maelezo....

Unaposema Dar imejengeka CBD tuu basi bila shaka utakua hiujui Dar vizuri
Ukitoa CBD + Uswazi's places other places are superb

Isitoshe Dar ni kubwa kulinganisha na NBO kwahiyo probably ya kuendelea ni kubwa vivo hivyo
World Bank values Dar’s real estate $3b more than Nairobi
 
well said....
BUT
for some cases kama za barabara tukiizungumzia NBO its true iko rank ya juu...

kuhusu estates hilo halina ubishi pia...

Lakini kuhusu kuendelea, Dar imepiga hatua kubwa mno, pembezoni mwa jiji kumeendelea kupita maelezo....

Unaposema Dar imejengeka CBD tuu basi bila shaka utakua hiujui Dar vizuri
Ukitoa CBD + Uswazi's places other places are superb

Isitoshe Dar ni kubwa kulinganisha na NBO kwahiyo probably ya kuendelea ni kubwa vivo hivyo
Unajua nairobi ni ndogo sana alaf kibaya zaidi mji wao haujatanuka ndio maana iliwalazimu kuweka flyovers kwasababu nairobi mpaka leo pamoja na flyovers hzo bado iko na foleni mbaya zaidi duniani

Upande wa dar ni kwamba, dar kuna barabara nyingi sana especially za michepuko na hata pia ukiangalia roada in km dar imeiacha nairobi mbali sana
 
Hahaha.....daresalaam is not developed outside the cbd radius as common in many African countries the cbd is spruced up with some few towers and nice boulevards but when done with that small portion it's all chaos and frenzy.......Atleast Nairobi has a good number of planned neighbourhoods covering a large portion of the city...with the slum areas covering 5% of the city but all in all NBO has maintained its high rank up there in Africa because of the vibrant real estate culture and organized way of living......viva Nairobi city
Story mob...kindondoni district ambayo ndio sehemu ilioendelea zaidi kwa dar achili kule CBD mostly iko planned...sijui unaongea nn ata
 
Back
Top Bottom