danja de genzo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 544
- 812
Nitag pia ukipata hii
![]()
Templ![]()
![]()
![]()
![]()
Templ![]()
![]()
![]()
![]()
analia kilio cha mbwa mwitu😀😀😀😀😀Templ![]()
![]()
![]()
![]()
mchina alishawajua nyie ni washamba huenda kuzubaa kwenye malls na CBD kutafuta wifi ya bure ndo maaana kawajengea vituo vya treni vikubwa ili mjazane mshangae huku mkisubiri garimoshi la mchina kutoka Guangzhou museumNitag pia ukipata hii
![]()
Wangoje za kwetu kama brt zilikuwa best sasa sgr itakuwa more toomchina alishawajua nyie ni washamba huenda kuzubaa kwenye malls na CBD kutafuta wifi ya bure ndo maaana kawajengea vituo vya treni vikubwa ili mjazane mshangae huku mkisubiri garimoshi la mchina kutoka Guangzhou museum
kubaya sana halafu wanataka uchafu wao wa mombasa waulinganishe na mwanza...ndio hii hahahahha😀😀😀😀😀😀😀 now is dar vs nairobi + msa
![]()
Kuna nini kipo Nairobi lkn hakipo Arusha?Nionyeshe ni kipi kiko Dar Mombasa hamna.
Superhighway haipo Dar sembuse Arusha? Sasa unaiona sababu yangu na wenzangu kuamua kuilinganisha Dar na Mombasa tupo sahihi.Kuna nini kipo Nairobi lkn hakipo Arusha?
Hii ni aibu sana kwa nchi inayojisifia kuwa na GDP kubwa, huwezi kuona barabara mbovu kama hii Tanzania, hata zinazounganisha wilaya kwa wilaya, hii barabara ya Lungalunga Mombasa inaunganisha Kenya na Tanzania, nilipita hapo miaka minne iliyopita, hali ilikuwa hivyo hivyo, kweli ni failed state
BRT na availabity of adequate running water hazipo Nairobi itakua Mombasa! Ndiyo maana wenzangu wameshauli battle iwe Mombasa+Nairobi against DarSuperhighway haipo Dar sembuse Arusha? Sasa unaiona sababu yangu na wenzangu kuamua kuilinganisha Dar na Mombasa tupo sahihi.
kama dude la kupikia vitumbua 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Umenifurahisha aseekama dude la kupikia vitumbua 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀