Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

New buldings coming to life..
 

Attachments

  • IMG_4956.jpg
    IMG_4956.jpg
    68.1 KB · Views: 23
Kisumu iko na interchange, Dar bado inaweweseka karne ya 21. Kisumu vs Dar es Salaam coming right up.

Povu ruksa!
Hakuna mji wa kishamba kama kisumu..
Ukitoa nbo na mombasa mji wa maana Ni eld
 
Aisee hizi takwimu kama ni kweli basi Tzn tuna kazi kubwa ya kuja kufikia Kenya,
Kaka tumia akili usionekane juha hapa jamvini, kwani kichwa chako hakifanyi kazi ya kufikiria kiasi cha kushindwa kujiuliza swali dogo kama hili?. Gari mbili zinafukuzana, moja ilitangulia mbele, baadae lile la nyuma likaanza kuongeza kasi na lile lililotangulia likapata matatizo ya gear likawa linatembea na gear namba 2, speed haizidi 50km/hr, wakati lile la nyuma linakwenda kwa speed ya 70km/hr, je umbali uliopo kati ya hizi gari mbili utapungua au kuongezeka?
 
Kaka tumia akili usionekane **** hapa jamvini, kwani kichwa chako hakifanyi kazi ya kufikiria kiasi cha kushindwa kujiuliza swali dogo kama hili?. Gari mbili zinafukuzana, moja ilitangulia mbele, baadae lile la nyuma likaanza kuongeza kasi na lile lililotangulia likapata matatizo ya gear likawa linatembea na gear namba 2, speed haizidi 50km/hr, wakati lile la nyuma linakwenda kwa speed ya 70km/hr, je umbali uliopo kati ya hizi gari mbili utapungua au kuongezeka?
Sasa ndo umeongea nn ww kiazi Mzee,nimesema kuna kazi kubwa ya kuifikia,çhukua kiasi cha gdp in amount kinachoongezeka kila mwaka kwa kila nchi then linganisha tuone kama tutawafikia in a near future,,maana growth rates sometime ni misleading hasa kunapokuwa na gap ya GDP baina ya nchi
 
Dar es salaam ipo very classic n smart looking than Nairobi wallahi.. nairobi yes inajengeka ila sio the same way as dar yapo tupo two different page of city looks
Tatizo la dar ni uchafu,disorganized settlements na kukosa classic infrastructures,,hizi issues zingekuwa tackled nadhani DAR ingekuwa classic sana
 
Sasa ndo umeongea nn ww kiazi Mzee,nimesema kuna kazi kubwa ya kuifikia,çhukua kiasi cha gdp in amount kinachoongezeka kila mwaka kwa kila nchi then linganisha tuone kama tutawafikia in a near future,,maana growth rates sometime ni misleading hasa kunapokuwa na gap ya GDP baina ya nchi
Rudi nyuma miaka kumi iliyopita angalia GDP ya hizi nchi mbili zilikuaje, kuanzia hapo Tanzania ilkuwa kwa kasi ya 7%, na Kenya wastani wa 5.5%, piga hesabu kwa kutumia akili yako, acha kusikiliza habari za kwenye mitandao, shule uliyokwenda ni lazima uitumie kila sehemu, sio kwa ajili ya kuomba kazi tu, vinginevyo utaburuzwa na kudanganywa na kila mtu hapa duniani.
 
Tatizo la dar ni uchafu,disorganized settlements na kukosa classic infrastructures,,hizi issues zingekuwa tackled nadhani DAR ingekuwa classic sana

Uchafu hapana dar cio chafu..hasa awamu hii ya tano ,disorganized settlements yes hapo nakubali kuna places ziko disorganized ila nyumba ni nzur basi tu hazijapangiliwa ... and what classic infrastructures unaongelea ..kwa uzoefu wangu wa kusafir nchi mbali mbali EA Dar iko vzur sana kwa infrastructure kasoro kidogo hii mji yote ya EA inabid wa improve miundo mbinu ya maji taka na mvua zikinyesha ... ila cion Kitu ambacho Nairobi imeipita Dar .labda unitajie tudiscuss hapa
 
Back
Top Bottom