kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
kumbuka huyo aliyeandika hayo si mtz ni mkenya.UN or Wikipedia or bloggers.......Kadoda...
bloggers....Lol

kumbuka huyo aliyeandika hayo si mtz ni mkenya.UN or Wikipedia or bloggers.......Kadoda...
bloggers....Lol

halafu siku hizi mbona kama mmepunguza kuimba kale ka wimbo ka ldc?.You never disappoint Boy...Wimbo wa Failed state ndio signature yako😛😛

Rich Gulf Arabs using Tanzania as a playground? Someone opened the gate | Nesrine Malikhalafu siku hizi mbona kama mmepunguza kuimba kale wimbo ldc?.
mmepatwa na masahibu gani. pls endeleeni kuimba..![]()
![]()
![]()
![]()

mwasiti asante kwa kuni tag kwa ile thread yenyu ya kijinga.

Iyo ya Barabara jidangangeni ivyo ivyo itawasaidia,Tanroads wanakaribia km 13000 iyo 7000 +ilikua mwaka 2013Two times the length of the roads, na bado wako hapa wanapayuka?
Hawa ni wajinga tu ujawah kuona watu wanapokea ata $1000 mshahara na waazidiwa maendeleo na wale wenye $500. ...Tanzania budget TZS 31trillion(2016/2017), hii ni sawa na $15B. Kenya budget ni Ksh 2.2 trillion, sawa na $20B, tofauti ni $5B pekee. Lakini Tanzania imeweza kulipa $3.1B kujenga SGR, kununua ndege saba, kulipia electric locomotive 50 na mabehewa ya kisasa 1400 kutenga pesa ya kujenga electric dam kubwa kuliko zote EA, kukarabati vinja 11vya ndege ukiwemo uwanja mkubwa na wa kisasa zaidi EA. Kenya kila kitu mnakopa na nchi imefilisika, what is wrong?
yes kijana,everything from the chasis is made right hereIs Isuzu made in Kenya?
Umechemsha kijana jaribu ingineKama Donholm estate ati CBD....lol
View attachment 720073
Hawa ni wajinga tu ujawah kuona watu wanapokea ata $1000 mshahara na waazidiwa maendeleo na wale wenye $500. ...
Tofautisha vibanda na nyumba tafadhaliama umoja Estate Lol
View attachment 720079
Acha ujuha Dodoma ni just manispaa usiwe mpuuzi😀😀😀😀 SI DODOMA NDIO MJI WA PILI KWA UKUBWA TZ? MBONA UNALINGANISHA NA MJI WA TATU KENYA?
Hawapo serious Hawa jamaa what Is this shitwithout filter
![]()
![]()
Kota hizo kaka angalia vizuriHawapo serious Hawa jamaa what Is this shit
Tulishawazoea pale chini(LDC) sasa siku hizi tunangoja mjisemee wenyewe. So umeina mwenyewe umejisemea so sina haja ya kukumbusha wewe.asante kwa kutuletea habari za throwback thursday from 2014.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 720445
bado nauliza, mbona siku hizi mmepunguza kuimba kale kawimbo ka ldc?... mmepatwa na masahibu gani?.
![]()
![]()
Amepigwa na butwaa alifikiri Kenya ni Tanzania ya Viwonder.yes kijana,everything from the chasis is made right here
World-class estates. the planning is superbView attachment 720146
tanzanian budget is usd13,953,280,000 kenyan usd 25,688,000,000(ksh2.6 tn) the difference is more than 10bn dollarsTanzania Draft Budget 2017/18: TZS 12 Trillion for Development Expenditure - TanzaniaInvest
Tanzania budget 2017/18, Tsh 31.712 Trilions = $15B
Kenya budget 2017/18, Ksh 2.29 Trillions = $20B
Difference $5B
Sometime unahit point...Beach estates all over the world zinajulikana kuwa ni estates za wadosi. Hizo picha pengine ni za oysterbay na mbezi beach, the equivalents of Runda, Karen, spring valley, Muthaiga, kileleshwa and the likes huku Nairobi. Hiyo picha niliyoleta sio moja ya hizo mitaa nilizotaja hapo juu. Hiyo kama sijakosea ni kilimani, an upper middle-income estate. Leta picha za middle income estates. Tukianza kuleta picha za karen na muthaiga utakimbia. Kwa estates, Dar haina usemi mbele ya Nairobi