ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
alaf magu mjanja sana kawaita wafanya biashara kawapa morali sana na kawaambia yuko tayar hata ku hold tax kwa five years kama mtu atafungua viwanda na kuongeza ajira 😀😀😀😀😀😀Sana hawa watu wanapenda kujiona wao ni [HASHTAG]#ARYAN[/HASHTAG] race ya East Africa kumbe Maskini na makapuku hawana mbele unakumbuka jana Wafanyabiashara walimwambia Rais kenya ilikua mshindani wetu kwenye Tourism sector lakini sasa hivi siyo tena.Hawana lolote hawa.