Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

19908AAB-30D6-4395-B086-84BF6F8D095A.jpeg
 
Sasa si mnawatoaga mjini ili m'walete huku Kenya ambako kuna pesa mpewe msaada ndio mjenge nchi yenu.
Kma wameletwa mbona hamuwarudishi yan wangekua watanzania hao mgekua mushawarudiaha kitambo sana ila mulitaka kuochafua tanzania hahaha
 
Hii reli inayojengwa kwa phase zote mbili tanzania inajenga kwa pesa yake tena the modern electric train in africa 3.16b usd kwa 722km dar to dodoma sasa ww unalia nn???
Hii reli inayojengwa kwa phase zote mbili tanzania inajenga kwa pesa yake tena the modern electric train in africa 3.16b usd kwa 722km dar to dodoma sasa ww unalia nn???


White elephant at its best.mnajenga reli ya stima na ninyi wenyewe mnatumia generators? viwanda vitajengwa vitumie nini kama 1500 megawatts zitaenda kwa reli?
 
White elephant at its best.mnajenga reli ya stima na ninyi wenyewe mnatumia generators? viwanda vitajengwa vitumie nini kama 1500 megawatts zitaenda kwa reli?
Kama tunatumia generator kusurvive basi sisi tuna maisha mazuri sana afrika.unajua litre moja ya petrol au diesel ni shingapi,na unatakiwa uweke mafuta kiasi gani ili generator izalishe umeme wa kukutosha???while unatunadi ni LDC.

Akili ya mkenya haifikirii zaidi ya hatua moja.
 
Why can't you help your fellow from Turkana who die of hunger daily, why you don't for millions of slums dweller and millions of chokora in your streets?

Sent from my MediaPad T1 8.0 using JamiiForums mobile app


Who told you that they are dying of hunger? they have experienced food shortage ,but government intervened and the situation was normalisd .
 
Who told you that they are dying of hunger? they have experienced food shortage ,but government intervened and the situation was normalisd .
Baa la njaa humpata asiye na chakula.asiye na chakula ni masikini.masikini ndiye wa kusaidiwa kwanza.
 
Sasa si mnawatoaga mjini ili m'walete huku Kenya ambako kuna pesa mpewe msaada ndio mjenge nchi yenu.
Sehemu yenye pesa do attracts investors not beggars, omba omba huenda kwenye nchi ambayo ni ombaomba, Tanzania attracts investors from all over, including many Kenyans investors.
 
White elephant at its best.mnajenga reli ya stima na ninyi wenyewe mnatumia generators? viwanda vitajengwa vitumie nini kama 1500 megawatts zitaenda kwa reli?
Muhimu hapo ni kwamba tumeweza kulipia $3.1B toka katika mapato yetu, ninyi hata kupata $500M hamuwezi kila siku kukopa, truly failed state
 
Muhimu hapo ni kwamba tumeweza kulipia $3.1B toka katika mapato yetu, ninyi hata kupata $500M hamuwezi kila siku kukopa, truly failed state
Weka Picha ya SGR imetengenezwa na hiyo $3.1b ama hata hizo pesa ni renders kama ujenzi???
 
Ukiwaona wenyewe wanavyosifia githeri na ukiwaambia wabongo hatupendi sana hayo makitu (nilikuwa "polite" tuu kwa kusema hivyo maana makande ni chakula cha hali ya chini sana Tanzania) wanashangaa sana.
binafsi nilishaipiga marufuku familia yangu kupika makande na mara ya mwisho kula yale makitu ni wakati nipo kenya.
 
Back
Top Bottom