ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Yani watu wenu wenyewe maisha yamewafandika kisawasawa unaanza kusingizia wabongo hahaha hilo dua la kukuMkenya yupi mwenye akili zake amuoe ombaomba jameni? ninyi fanyeni tu kazi mlotumwa na ******** ya kuombaomba sisi tuna moyo sultan, tutawapa mapeni mkaijenge nchi yenu pamoja na reli lakini kwenye ndoa,hatupo tayari wadau maana mtatwambukiza ufukara wenu.
Mtupe nn wakat gvt is broke deni zimewajaa mpaka matakoni😀😀😀😀


