Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Reli inaishia pale kwa corner behind that man with a bag...tena kwani reli inajengwa na mchina ama ni ile sample ya Mchina??
endelea na kilio hatujamaliza hata mwaka toka ujenzi umeanza😀😀😀😀😀

yenu hio old fashion of 50 yrs ago mlijenga 3 and ahalf yrs ukumbuke hvo😛😛😛😛😛😛
 
endelea na kilio hatujamaliza hata mwaka toka ujenzi umeanza😀😀😀😀😀

yenu hio old fashion of 50 yrs ago mlijenga 3 and ahalf yrs ukumbuke hvo😛😛😛😛😛😛
haha sasa electric train hadi dododma na dodoma yenyewe inakaa refugee camp
 
haha poor you diamond amebuy shamba ngong anasema kununua shamba kenya tz ni very big achievement
safi sana na hongera kwa diamond kununua shamba kenya.

ni fahari sana kwa mtanzania kumiliki ardhi katika nchi ambayo majority of citizens are landless.
viva tanzania.
 
investor ni diferent na serikali nugu hii
wewe unaakili timamu huyu ni serekali???
e3f6be12-add1-4891-8552-fbdc51c10ae7-jpeg.716723
 
Back
Top Bottom