mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,781
- 6,481
2018 tuko Middle Income Tz bado Mpo pale pale kama kawaida LDC.😀2013 mlikua ldc ,hata Tz ikiwa D.C. kesho hatuwez cheka Burundi au Uganda
2018 tuko Middle Income Tz bado Mpo pale pale kama kawaida LDC.😀2013 mlikua ldc ,hata Tz ikiwa D.C. kesho hatuwez cheka Burundi au Uganda
Acha asira kijana mdogo. Nimeuliza hivyo coz hapo hapakai ni mahi iko ndani ya jiji. inakaa mtaa fulani najua kule Kitale sitataja jinaKwani unapoambiwa 1500 na ushehe KmSq unahisije kwa mfano...
Unahisi ni kutoka JKIA unapita Embakasi mara Pangani mara paap umetokea CBD eeh...
Omg.. Is this really in KENYAAAAAAA!!!???? Mnawezaje kujisifu wakati kuna hali mbaya kiasi hiki huko Kenyaaaa... Tanzania is waaaaaay ahead of Kenya Kama maisha ya wakenya wengi ndio haya![]()
Unajifanya sana unajua Nairobi wakati unasikia tu redioni. Mtu akipitia Embakasi anatokeaje tena pangani? Ama wewe bora tu unajua majina mawili matatu za mitaa za Nairobi!Kwani unapoambiwa 1500 na ushehe KmSq unahisije kwa mfano...
Unahisi ni kutoka JKIA unapita Embakasi mara Pangani mara paap umetokea CBD eeh...
Tanzanians let's go back to BRT and the 3blue buildings.. Ukitoa hizo hakuna kitu cha kudiscuss na nyinyi..
Ichomama na Joto.. please mo side views of BRT
I believe there was a translator in that room. some nigga is speaking kinyamwezi packaged as Englishinternational rnb singer Omarion is in kenya for an album launch of diamond platnumz but he neither post photos nor location to show to his fans that he is kenya.
why is he doing so?.check his instagram page you will see what i'm talking about. is kenya not exciting him to perform or what?. smh
i swear he wouldn't do such an act if he were in dar es salaam. we would make him feel home.
you should thank diamond platnumz b'se at the moment he is the only superstar who gives kenya mileage by mentioning it on instagram.he does so purposely to promote his album.
povu ruksa.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 714788
Very true. We are an an industrious people and go-getters. mix that with ubunifu and you have one lethal concoction these lazy chaps can't standHakuna kitu husumbua mtanzania kama Kenya na wakenya.......Hata wanaogopa free movement of people across east Africa ati Kenyans will take over all their jobs and country......hahaha .which is very true
Be proud of the little you have now you never know when the next good thing will be seen again.
Vipi kuhusu picha za mitaa zenu? Hizi za cbd tumezichoka
Good Boy at least sasa umeonyesha the slums side by side with yor Nasara Towers...hebu angalia to the left side of this picture. Ukweli unadhihirika kwa mihemko ya hasira kukimbizana na Kenya.🙂🙂
For 10 mks tuonyeshe informal settlements next to Nasra towers😀😀😀 na usijifanye kipofu tafadhali😉😉Lete ushahidi tafadhali, mikoa yote ya Tanzania imeunganishwa kwa lami, hakuna mkoa hata mmoja au eneo lolote la Tanzania ambalo halijaunganishwa kwa lami, huko kwenu sehemu kubwa ya northern na northen east hakuna lami.
Vipi kuhusu picha za mitaa zenu? Hizi za cbd tumezichoka
Lakini pamoja na yote hayo unayojisifia, bado mnashindwa kupambana naVery true. We are an an industrious people and go-getters. mix that with ubunifu and you have one lethal concoction these lazy chaps can't stand
Good Boy at least sasa umeonyesha the slums side by side with yor Nasara Towers...hebu angalia to the left side of this picture. Ukweli unadhihirika kwa mihemko ya hasira kukimbizana na Kenya.🙂🙂
Realy! And what about those three blue towers visible in the pic? Did they move to gerezani overnight kutoka cbd?Huwezi danganya mtu mwenye macho na akiliHapo siyo CDB, gerezani ipo nje ya city centre, Dar kubwa wewe acha kabisa.
Hizo ni karakana za vijana unatengenezewa kitu chochote hapo, panaitwa gerezani, kuazia taa ya Koboroi, jiko la BBQ hadi ukitaka customize gari yako ilete hapa itapatFor 10 mks tuonyeshe informal settlements next to Nasra towers😀😀😀 na usijifanye kipofu tafadhali😉😉
![]()
An industrial area right next to the cbd?!? Something ain't right somewhere. Hii Dar yenu inazidi tu kustaajabisha kila kuchao.Hiyo ni industrial area na hivyo unavyoviona ni viwanda vidogo vidogo kama machine shops, Dar imejengeka sana na inamajengo ya kumwaga mpaka nje ya jiji.
HahaFor 10 mks tuonyeshe informal settlements next to Nasra towers😀😀😀 na usijifanye kipofu tafadhali😉😉
![]()
Ndinda you mean that's an industrial park right next to the cbd? Halafu those buildings on the far left si ni kariokoor? Dar lacks good plan, that's all I can sayHizo ni karakana za vijana unatengenezewa kitu chochote hapo, panaitwa gerezani, kuazia taa ya Koboroi, jiko la BBQ hadi ukitaka customize gari yako ilete hapa itapat