mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,781
- 6,481
Hamkosangi vijisababu..Hiyo ni industrial area na hivyo unavyoviona ni viwanda vidogo vidogo kama machine shops, Dar imejengeka sana na inamajengo ya kumwaga mpaka nje ya jiji.
Hamkosangi vijisababu..Hiyo ni industrial area na hivyo unavyoviona ni viwanda vidogo vidogo kama machine shops, Dar imejengeka sana na inamajengo ya kumwaga mpaka nje ya jiji.
Lol....maskini wa kutupwaHebu tafuta mahala mulipo😱😱
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
😀😀😀😀😀Haha
We Mwasiti na ndugu zako nendeni UN mukawaambie mmeisahau Dar es salaam kwenye list ya slum..
Shubamiiiiiiiiit
endelea kuota ndoto za mchanamchana😀😀😀😀😀hawajafika hata 8000 km ukiona from source Yao ya barabara ya Tanzania
visababu gani??? mkishinda hamutaki kukubali ukweli 😀😀😀😀Hamkosangi vijisababu..
Najua Dar ni slum...Haha
Mkuu eeh kama huna unalolijua kuhusu Dar ni heri ukae kimya tuu
Unapoambiwa hapo ni Gerezani means ni part ya Kariakoo
On the left side hizo small buildings zinatengeneza moja ya mitaa maarufu kwa spears za magari na vya gereji
Kumbuka Kariakoo kila mtaa una specification zake
On the right side ndiko kunakoanzia reli ya kati means ndiko Dar Station ilipo, vivyo hivyo ile flyover ya SGR itaanzia hapo right side kwa ukiacha hiyo Nasra Tower then chap kwa hiyo barabara then ile flyover ndo itaanzia hapo
We Mwasiti na ndugu zako nendeni UN mukawaambie mmeisahau Dar es salaam kwenye list ya slum..
Shubamiiiiiiiiit
situshakuelewa bro tushabadilisha tayari😀😀😀😀😀😀😀Najua Dar ni slum...
Hii ndio 8% out of 92% ambayo sio slum?kigamboni dar
![]()
On the left side kama kawaida slums
sasa mbona unalia sana wakat tushstoa kenya tumeeka tanzania😀😀😀😀Hii ndio 8% out of 92% ambayo sio slum?