Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hebu tafuta mahala mulipo😱😱
Least_Developed_Countries.png

PR12040f1_en.jpg

aldc_LDCs_map_large.jpg

16_05.jpg

ldc.jpeg
Lol....maskini wa kutupwa
 
Haha
Mkuu eeh kama huna unalolijua kuhusu Dar ni heri ukae kimya tuu
Unapoambiwa hapo ni Gerezani means ni part ya Kariakoo

On the left side hizo small buildings zinatengeneza moja ya mitaa maarufu kwa spears za magari na vya gereji
Kumbuka Kariakoo kila mtaa una specification zake

On the right side ndiko kunakoanzia reli ya kati means ndiko Dar Station ilipo, vivyo hivyo ile flyover ya SGR itaanzia hapo right side kwa ukiacha hiyo Nasra Tower then chap kwa hiyo barabara then ile flyover ndo itaanzia hapo

We Mwasiti na ndugu zako nendeni UN mukawaambie mmeisahau Dar es salaam kwenye list ya slum..

Shubamiiiiiiiiit
Najua Dar ni slum...
 
Back
Top Bottom