kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
waitoe wapi...Wakat hawa mbwiga humu hawana hata harufu ya ardhi hahahah diamond anawaumiza sana wakenya hahahah😀😀😀

waitoe wapi...Wakat hawa mbwiga humu hawana hata harufu ya ardhi hahahah diamond anawaumiza sana wakenya hahahah😀😀😀

Hiyo ni industrial plot ambapo kuna karakana (workshop) ndogo ndogo. Hapo ni kama 2km kutoka CBD.An industrial area right next to the cbd?!? Something ain't right somewhere. Hii Dar yenu inazidi tu kustaajabisha kila kuchao.
Na hapo pia sio CBD, CBD ya Dar inaundwa na wards kama vileFor 10 mks tuonyeshe informal settlements next to Nasra towers😀😀😀 na usijifanye kipofu tafadhali😉😉
![]()
eeeewwww......not yummy.fish and beans at one goHaya mambo ya sijui "below poverty line" msiyachukulie kwa pupa, huwezi ukarundika nchi zote kwenye gunia moja na kusema "hawa ni masikini" eti kwa kuwa wanapata kipato cha chini ya dola moja.
Hiyo dola moja mtanzania anakula vizuri sana na kubakisha.
Wenzenu wanaposema, "chini ya dola moja" kwenye nchi zao ni umasikini kweli kweli. Sana sana utakachonunua ni grandma's cookies kwenye vending machine kama hapo chini inavyoonesha bei yake ($0.85).
View attachment 715096
Lakini kwa bongo hivyo vipimo havina mashiko kiivyo kwa kuwa unapata msosi wa nguvu kwa chini ya dola moja.
![]()
Huu msosi kuna jamaa alisema kwao tabata ubaya ubaya mamantilie wanauza kwa Tsh1000 ambayo ni sawa na "four dimes four pennies" ($0.44), kwa rate ya $1=Tsh2255.
Sasa wewe jirani unaongea ongea tuu bila hata ya kufikiri eti kwasababu "wamesema"?
it doesn't matter even xi jinping and vladimir putin can't speak english fluently and they're always traveling with english translators when going for a state visit outside their countries.I believe there was a translator in that room. some nigga is speaking kinyamwezi packaged as English

ati 17000........pipe dreamGovt to tarmac 4,000km of road in four years
By the end of 2016, Kenya mnlikua na jumla ya 15,981km za tarmacked roads, 14,000Km zilizojengwa na serikali zilizopita, na 1,981Km zilijengwa na serikali ya Jubilee. Tanzania ilikuwa na 17,000Km katika kipindi hicho hicho, kumbuka Tanzania ni kubwa mara mbili ya Kenya, kwahiyo percentage ways Kenya itaonyesha mara mbili ya Tanzania, jifunze kutafsiri hizo data.
hawajafika hata 8000 km ukiona from source Yao ya barabara ya TanzaniaTanzania iko na 5000km wacha Ku cook facts hapa
Kama ambavyo ilikuwa ndoto kwenu kukubali kwamba Tanzania inaweza kujenga reli ya umeme, kama ambavyo mlikua hamuamini kama Tanzania inaweza kujenga SGR kwa kutumia pesa yake yenyewe, the only country of third word to do that. Tanzania is a model country, utake usitake lakini huo ndio ukweli.ati 17000........pipe dream
looks like the same place.....the towers are just 500 metres awayHapo siyo CDB, gerezani ipo nje ya city centre, Dar kubwa wewe acha kabisa.
you are one shallow emotion whimp who only blubbers....go to your transport authority web site ujioneee 7600 km only of roads....pwahahaKama ambavyo ilikuwa ndoto kwenu kukubali kwamba Tanzania inaweza kujenga reli ya umeme, kama ambavyo mlikua hamuamini kama Tanzania inaweza kujenga SGR kwa kutumia pesa yake yenyewe, the only country of third word to do that. Tanzania is a model country, utake usitake lakini huo ndio ukweli.
Usitutole facts kutoka matakoKama ambavyo ilikuwa ndoto kwenu kukubali kwamba Tanzania inaweza kujenga reli ya umeme, kama ambavyo mlikua hamuamini kama Tanzania inaweza kujenga SGR kwa kutumia pesa yake yenyewe, the only country of third word to do that. Tanzania is a model country, utake usitake lakini huo ndio ukweli.
Lete wewe facts, mlikua mkipinga kwamba Tanzania haiwezi jenga electric railway, sasa hivi mnauguza maumivu ya wivu.Usitutole facts kutoka matako
Wanatuogopa sana hawaVery true. We are an an industrious people and go-getters. mix that with ubunifu and you have one lethal concoction these lazy chaps can't stand
Unasemaje sio cbd wakati hixo towers tstu refu ziko kama 500 m or 600 m away? Watanzania kwa kukana mambo hamna mpinzani. Mnakana hadi vitu zilizowaziNa hapo pia sio CBD, CBD ya Dar inaundwa na wards kama vile
Posta
East Upanga
Kisutu
Mchafukoge
Kivukoni (Magogoni)
Hata ukiwa Kariakoo utaona direction inayokuonyesha kwenda City Centre yaan CBD ndo ushangae sasa...
Mnapoambiwa Dar ni kubwa kuliko NBO mnatakiwa mjiongeze kidogo, sie mbona tunaulizaga tusiyoyajua kuhusu NBO
Me humu rafiki yangu ni El Matador tuu
Hiyo sgr mumejenga iko wapi?Kama ambavyo ilikuwa ndoto kwenu kukubali kwamba Tanzania inaweza kujenga reli ya umeme, kama ambavyo mlikua hamuamini kama Tanzania inaweza kujenga SGR kwa kutumia pesa yake yenyewe, the only country of third word to do that. Tanzania is a model country, utake usitake lakini huo ndio ukweli.
Wapi iko mumejenga sgr hiyo?Hiyo sgr mumejenga iko wapi?

never watch its just social media hahahah😀😀😀😀😀😀😀😀Sawa wewe endelea kuwatch kama unadhani ntaumia....I appreciate you promoting our media
leta ushahidi tunasubiri😀😀😀😀😀😀😀😀We are making more money because there are more millionaires in Nairobi alone than Tanganyika and Zanzibar combined
Look at here, then say your words againUnasemaje sio cbd wakati hixo towers tstu refu ziko kama 500 m or 600 m away? Watanzania kwa kukana mambo hamna mpinzani. Mnakana hadi vitu zilizowazi
sasa kilio chote cha nini???😀😀😀😀😀😀😀People should learn to keep to thdir lanes. Lanes please Tanzanians, Kenya is not your equal