Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi jamani kuhusu hizi pasiport zetu za muda kuandikwa SINGLE JOURNEY mkuu wa nchi anataarifa kuwa ni kero kwa madereva wanaoenda kila siku nje ya nchi kama pasi kubwa zimeisha.Ningemuomba kwa heshima kubwa arudishe tu ONE YEAR kama zamani
 
😀😀😀😀 watu wanadharau aisee
CA2EDCA1-9D23-4844-BA97-34EDF9D5901C.jpeg
 
kuanzia sasa baada ya ukuta kukamilika, ni mtanzania tu mwenye national ID ndiye atakaye ruhusiwa kuingia eneo la ndani la mirerani ambako yanachimbwa madini adimu duniani ya tanzanite.

magufuli chuma... hapa kazi tu. wakenya kuanzia sasa msahau kuhusu tanzanite yetu, shenztype.

asante baba magufuli kwa kurejesha heshima ya mama tanzania.

3ed7093ecf4048611e10a7c39ec2d318.jpg
af5a663d21849ed8dfbb4aecd9a0aff8.jpg
 
sasa jaribuni wakenya kuingia humo tutawachoma kama tunavochoma vifaranga vyenu😀😀😀😀
View attachment 696684
kwa taarifa ambazo ninazo, baada ukuta kukabidhiwa rasmi, jukumu zima la ulinzi litaachiwa kwa JWTZ.

uzuri wa jwtz hawana time ya ku-entertain porojo, order ikitolewa kinachofata ni immediate actions.

round hii kama wakenya hawajipendi,waje mirerani kuleta ukora wao wa kikenya kwa jwtz uone vile watakavo uliwa kama kuku.

hiyo kitu hapo chini haitawaacha salama.

bc7c7ae614869979b1a23b001076da42.jpg
 
leo muggers wameamua kuleta renders za miradi ya kujifariji.smh
Wewe ni renders tu ndio umeona! Mbona hapo kwa screenshot za IamLee ambazo zinaonyesha hali halisi ya Dar umepita kimya kimya? Hiyo ndio Dar mnayolinganisha na jiji kuu Afrika mashariki na kati? Hata hamna haya! That glorified village should not be compared with Nairobi even for a second. Yani Dar haina anything outside cbd!
 
1d011baf4c53ed2a6c984f0aff4b4c67.jpg
Kwa hali kama hiyo naona Trump alichelewa sana kutuita shithole
NB:wanaokaa hapo wana moyo, maana ule mkokoteni ukipita unaweza kuta mimba za watu zinatoka bure
 
Back
Top Bottom