yangu macho
Member
- Jun 7, 2017
- 28
- 12
Hivi jamani kuhusu hizi pasiport zetu za muda kuandikwa SINGLE JOURNEY mkuu wa nchi anataarifa kuwa ni kero kwa madereva wanaoenda kila siku nje ya nchi kama pasi kubwa zimeisha.Ningemuomba kwa heshima kubwa arudishe tu ONE YEAR kama zamani