Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shika yako pia
cd1hmmq2zwyxodc4mtzhmjvindm2ogq5mdnjy2fkotlhmsznptbhyjawyja2ntcwyzzkytk4ywi5nmy0yjg2zdviyti3.jpeg
ni shike nini? nategemea utanijibu kesho ukirudi CBD! sasa hivi upo kwa keja hapo kibera unasubili giza lizidi ukarushe mfuko wa kinyesi hewani..
 
wacha tupike tu...kwani ni wewe utakayekula?😀😀😀😀
mmezidi mnadanganya mpaka mna anza kuona uongo ndiyo ukweli!! halafu ww jamaa tafuta manzi kila zikirushwa picha za mademu naona unakuja mbio mbio.. ! mbunguza ufisi
 
Wekeni nssf twin tower ya Nai hapa...ile nyumba hua naielewa ivyokaa
 
Hujafika Tanzania wewe, njoo ujionee barabara za Bongo, huwa ninazitumia sana barabara za Kenya, Lunga lunga hadi Mombasa ni mashimo matupu
Hahah lies nilikua wasini na diani Dec last year... there is no single pothole... the road is new...Tembea kenya tafadhali.. Nakuru, kisumu, Moyale, Garisa, Kisii... You will learn and see alot.
 
Hizo picha zimeliamsha midude ya Watanzania kweli kweli. Hahahahahahaha I love it.
 
picha za mwaka 2010.
For the first time since nikujue hapa JF uko na hasira na huzuni. Am really sorry for posting the reality on the ground naona hata unakubali hapo ni Dar ila ni 2010... Hahahahahahaha keep ya head up buddy hapa nikutaniana tu.
 
cd1hmmq2zwyxodc4mtzhmjvindm2ogq5mdnjy2fkotlhmsznptbhyjawyja2ntcwyzzkytk4ywi5nmy0yjg2zdviyti3.jpeg
woooi kumbe tz watu wana chota maji katika pipa la takataka....😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom