kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
hii ndio faida ya kufanana na mtanzania diamond platnumz.
hatimaye kijana mkenya anayefanana kwa baadhi ya vitu na diamond platnumz ameshatoboa kimaisha kwa ku-sign deal na kampuni moja pale nairobi.
bongezi kwa comedian mkenya eric omond kwa kum-promote kijana huyu. otherwise angekuwa anaendelea kuendesha bodaboda ushago kwao.
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
NB:
kama kuna watz wanafanana na macebrity wa kikenya basi wajue kuwa hawana bahati na hawatafika popote sababu macebrity wengi wa kenya hawana mvuto.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hatimaye kijana mkenya anayefanana kwa baadhi ya vitu na diamond platnumz ameshatoboa kimaisha kwa ku-sign deal na kampuni moja pale nairobi.
bongezi kwa comedian mkenya eric omond kwa kum-promote kijana huyu. otherwise angekuwa anaendelea kuendesha bodaboda ushago kwao.
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
NB:
kama kuna watz wanafanana na macebrity wa kikenya basi wajue kuwa hawana bahati na hawatafika popote sababu macebrity wengi wa kenya hawana mvuto.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]