thisdayes
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,610
- 4,557
Lete vitu kama vya Dar.. kila siku vitu vipya.sasa unatakaje?
Lete vitu kama vya Dar.. kila siku vitu vipya.sasa unatakaje?
Naona siku hizi dar kuna milimaCBD DAR IS SLUM
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Leta ripoti ya hayo unayosema na pia hao wezi wa Ikulu ya ********.Wale ni majambazi hawajatoka nje ya Tanzania, baada ya lile tukio tuliwakamata wote na husikii hata jogoo likiwika. Ninyi hawa Alshabaab wanavuka mpaka na kufanya wanavyotaka, sasa hivi ni zaidi ya miaka minne, hamna na wala hamuwezi kuwafanya lolote, sasa KDF wanafanya nini huko Somalia?, stupid nyang'au.
Kuna Kitu Unapaswa Ukijue, Honestly ni kwamba WOTE tuna makazi Hafifu ila NAIROBI yamepitiliza, Masikini Wa Kenya Ni Zaid Ya Masikini Wa Tanzania!!mabakuli mtoe bas barabarani
wewe jisikie tu uhuru ku-upload picha za throwback thursday....hakuna anayekuzuia.For the first time since nikujue hapa JF uko na hasira na huzuni. Am really sorry for posting the reality on the ground naona hata unakubali hapo ni Dar ila ni 2010... Hahahahahahaha keep ya head up buddy hapa nikutaniana tu.

Tunamuona Juhawewe jisikie tu uhuru ku-upload picha za throwback thursday....hakuna anayekuzuia.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Alikuwa mtanzania alizaliwa ngongo hillsmnajua kukana kila kitu kama Judas Iscariot haikosi alikuwa mtanzania......mna tanzia tanzia tu
brt hoyeeee
![]()
Hahaha hii ni kali ata mtoto nilidhania ni photo shop.brt hoyeeee
![]()
hahahahapwahahahhaaahaa......I didn't see that coming ..... Jay samehea watu......lol
They always have bus stands..hahahaa Leo umefanya wanyamaze ata annael sai amejifungia choomungu ibariki tz
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nyumba kama hizi dar umekosa😀😀😀😀tuje sasa kwa aiport
![]()