kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
It is na is ni kitu kimoja mbona mnajiaibisha na hii lugha ya malkia? You are making the Queen get mad*No it's not China*
Wala hata sikutaka kumjibu, wajinga sana hao, kiingereza hawakijui, Kiswahili ni shida, wanachojua ni ukabila na lugha za makabila yao. Wakishindwa hoja, wanakimbilia kwenye kiingereza.It is na is ni kitu kimoja mbona mnajiaibisha na hii lugha ya malkia? You are making the Queen get mad
Kwa kweli japo kiingereza changu ni cha ngumbaru lakini shuleni English teacher aliniambia it's na is ni kitu kimoja kuendana na jinsi ulivyoitumia kwenye sentence achana na Ile his, her, it's, theirs lakini hiyo it's pia unaweza kuitumia kwenye sehemu ya is, ila hawa majirani ni wajinga wanayo Ile English ya kukariri kukremisha lakini ukimtaka maelezo yupo chaka kupita maelezo. Mtanzania English yake ni ya darasani siyo ya huko mitaani kama wakenya na wa NaijeriaWala hata sikutaka kumjibu, wajinga sana hao, kiingereza hawakijui, Kiswahili ni shida, wanachojua ni ukabila na lugha za makabila yao. Wakishindwa hoja, wanakimbilia kwenye kiingereza.
Rugby sevens seriesHii ni nini?
Aliyewakataza kugraduate ni nani? Au mnangoja firimbi?Nyie ni juzi mlitoka apo ldc mwaka 2014 kama sijaskosea,sio kwamba mligradute 1994 uache ufala, so muda sio mwingi tutatoka group Ilo
IRB SEVENS(Hamilton)
Kenya 19-14 Samoa
Kenya 19-14 Canada
Kenya 19-19 USA
Kenya finishes top in pool D and will face Australia in the main cup quaters tomorrow
Mtanzania telling a kenyan kwamba hajui kizungu. lol, kama mnachoandika hapa ndani ndio kizungu acha tu nisijue kizunguWala hata sikutaka kumjibu, wajinga sana hao, kiingereza hawakijui, Kiswahili ni shida, wanachojua ni ukabila na lugha za makabila yao. Wakishindwa hoja, wanakimbilia kwenye kiingereza.
Huna unachokijua ww nanga, Nyerere enzi zake alitoa scholarships mob watu walisoma sana urusi, china, Quba na sehemu zingine...even madaktar wengi wazee zaidi ya nusu yao walisoma nje. ...
Huna unachokijua vunga tu,
Papasi tu
Mtanzania telling a kenyan kwamba hajui kizungu. lol, kama mnachoandika hapa ndani ndio kizungu acha tu nisijue kizungu
Sasa na waingereza watasema nini kuhusu English? Tanzania sie lugha yetu ni kiswahili hata English haitupi tabu sababu kiswahili kinatutosha na tunakipenda kuliko English ya EnglandMtanzania telling a kenyan kwamba hajui kizungu. lol, kama mnachoandika hapa ndani ndio kizungu acha tu nisijue kizungu
nyi ardhi yenu Sí inamilikiwa na wazungu na kenyatta familyWatanzania ikifika suala la ardhi mnyamaze kabisa hamna anayemilike ardhi huko
![]()
Ulitaka ulipwe fidia wakati umejenga kwenye hifadhi ya barabara? Huko Kenya mkijenga kwenye road reserve huwa mnalipwa?Watanzania ikifika suala la ardhi mnyamaze kabisa hamna anayemilike ardhi huko
![]()
What Rugby sevens series for? is a movie series? Sijawahi kuiona.