Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtanzania telling a kenyan kwamba hajui kizungu. lol, kama mnachoandika hapa ndani ndio kizungu acha tu nisijue kizungu
Hata mnachoandika ninyi pia sio kizungu, mnavuruga sana, kwasababu sio lugha yetu wote, hatuna sababu ya kufuatilia lugha isiyotuhusu, ila hamjui kiingereza.
 
Watanzania ikifika suala la ardhi mnyamaze kabisa hamna anayemilike ardhi huko
da4bcd70a6b37b62ad1fce83f6a7877b.jpg
umeisoma hiyo article nzima kujua ni kwanini bank ya dunia inatishia kutotoa mkopo?.

usikurupuke kilaza.
 
isome article vizuri halafu rejea ile kauli yako/yenyu kuhusu watanzania na kumiliki ardhi ndio utajua hoja ya world bank.
Haya tutumie common sense hapa....hapo juu mmetueleza kila mtanzania anamiliki ardhi Tanzania..swali inakua nini inachangia mtu kujengwa kwenye road reserve?
 
Haya tutumie common sense hapa....hapo juu mmetueleza kila mtanzania anamiliki ardhi Tanzania..swali inakua nini inachangia mtu kujengwa kwenye road reserve?
unahakika gani ni road reserve?.
 
Back
Top Bottom