Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sifa za kuwa mmiliki wa kitu

Kuweza kukiuza kwa mwingine
Kuweza kukitumia kwa Uhuru bila kuomba ruhusa
Kuweza kukopea au kuweka rehani ili kuipata faida
Kuweza kukirithisha kwa umtakaye
Kuweza kukipa utambulisho uutakao
Kuweza kukiita mali yako
Kutambulika na mamlaka kama mali yako


Hizi na nyingine nyingi ni sifa za wamiliki wote wa ardhi Tanzania wana Uhuru ya kufanya yote hayo kwenye ardhi zao.
...yote tisa, kumi ni kwamba mnalease land kutoka kwa serikali yenu "tukufu". Ujinga na utumwa ulioje!
 
Sasa hii battle imekua Nairobi vs Dar slums+zanzibar+mwanza+Nyerere
 
...yote tisa, kumi ni kwamba mnalease land kutoka kwa serikali yenu "tukufu". Ujinga na utumwa ulioje!
Bomba la mafuta ambalo litaingizia Tanzania pesa nyingi kuliko utalii na SGR yenu kwa pamoja limekuja Tanzania kwasababu ya our land policy, viongozi hawawezi kujichukulia ardhi kama alivyofanya Jommo Kenyatta, wala mabepari hawawezi kujilimbikiza ardhi, watu hawawezi kuishi kwenye slums, na wala hatuwezi kufa njaa kwasababu ya our land policy
 
Jamani watz katika hii thread tuwe makini tusije tukawa tunabishana na mtu humu kumbe yeye na familia yake wanaishi kwa kunywa maziwa ya mbwa

Au keshapata fursa ya kwenda kuolewa na mwanaume mwenzie marekani(maana nasikia Hii ni dream ya vijana wengi wa vyuo Kenya maana hukuna ajira wala uwezekano wa kujiajiri)
Hahaha hahhah kumbe wananyonya mpaka mbwa, mimi nilidhani wanakula uroda wa mbuzi pekee kumbe wamefika mbali zaidi kiasi hiki,?? Na huko kutatuana rinda wao ndio experts huko mombasa ndio headquarters
 
Bomba la mafuta ambalo litaingizia Tanzania pesa nyingi kuliko utalii na SGR yenu kwa pamoja limekuja Tanzania kwasababu ya our land policy, viongozi hawawezi kujichukulia ardhi kama alivyofanya Jommo Kenyatta, wala mabepari hawawezi kujilimbikiza ardhi, watu hawawezi kuishi kwenye slums, na wala hatuwezi kufa njaa kwasababu ya our land policy
Who told you kenya haijengi pipeline? and did you say sgr? our is operational wakati nyinyi bado mnatafuta route ya reli kule vichakani
 
Who told you kenya haijengi pipeline? and did you say sgr? our is operational wakati nyinyi bado mnatafuta route ya reli kule vichakani
Soma vizuri usiwe na haraka kama upo na date na boyfriend wa kizungu, nimekuambia Uganda pipeline ambayo ingewaingizia pesa nyingi mumeikosa kwasababu ya land policy yenu, sikusema hamtojenga. Nimekuambia bomba hilo litaingiza pesa nyingi kuliko pesa mtakayopata kutokana na makusanyo ya utalii wenu na yale yatakayoingizwa kutokana na SGR yenu kwa pamoja, siwezi linganisha vitu viwili ambavyo ni sawa na mbingu na ardhi.
 
Soma vizuri usiwe na haraka kama upo na date na boyfriend wa kizungu, nimekuambia Uganda pipeline ambayo ingewaingizia pesa nyingi mumeikosa kwasababu ya land policy yenu, sikusema hamtojenga. Nimekuambia bomba hilo litaingiza pesa nyingi kuliko pesa mtakayopata kutokana na makusanyo ya utalii wenu na yale yatakayoingizwa kutokana na SGR yenu kwa pamoja, siwezi linganisha vitu viwili ambavyo ni sawa na mbingu na ardhi.
Uganda chose your route because it was shorter and because of your favourable topography, not because of anything else. Give me a link stating that UG chose Tanzanian route because of bad land policies in Kenya. Leta haraka nangoja
 
Uganda chose your route because it was shorter, not because of anything else. Give me a link stating that UG chose Tanzanian route because of bad land policies in Kenya. Leta haraka nangoja
Heee jamani hivi mnamwele huyu mwenye data amsadie
 
Na sisi walifeli huku
How can a class one fail ib anything? Wengi wenu mnaosoma kenya mnaanza kusoma kutoka ngazi ya chini, yani pale kindergarten au darasa la kwanza au la pili. Hao wamefeli mtihani gani Tanzania?
 
Julius Nyerere International Airport

c8a58bf2f28f7fa1acf068bf4c2ee32a.jpg
 
Ooh Kenya airways linaendeshwa kwa hasara blah blah blah...mibongo na zombies hamna tofauti
f0e3f8cec42c59e53d963738c51c8f86.jpg
 
Some guys are slaves in their country how can u lease land kama foreigner
Usije ukazani wanaposema ardhi ni mali ya serikali ukazani kwamba sasa wananchi hawana chao katika ardhi ila ni kwamba unapochukua ardhi bila kuendeleza serikali huchukua na kugawia secta mbalimbali za serikali ili waiendeleze ila muhusika iliekuwa ikiimiliki analipwa na kutafuta eneo lingine
 
Back
Top Bottom