Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kucheka ni afya, cheka ili uongeze siku za kuishi.

9a4ec3f5f423792c577e7a22e8cb9cf9.jpg
 
Wajinga wamefaulu kujitoa LDC ila nyinyi mnaojiita werevu mko kundi moja na kina Somali,Congo,CAR,S.Sudan
Nyie ni juzi mlitoka apo ldc mwaka 2014 kama sijaskosea,sio kwamba mligradute 1994 uache ufala, so muda sio mwingi tutatoka group Ilo
 
Nyie ni juzi mlitoka apo ldc mwaka 2014 kama sijaskosea,sio kwamba mligradute 1994 uache ufala, so muda sio mwingi tutatoka group Ilo
Hata hatuna shida na kwenda huko, kama bado wana njaa, hawana ajira, wanaishi kwenye slums na hata maji ya kunywa Nairobi ni shida, sasa kuna faida gani ya kuwa huko?
 
Uganda chose your route because it was shorter and because of your favourable topography, not because of anything else. Give me a link stating that UG chose Tanzanian route because of bad land policies in Kenya. Leta haraka nangoja
Haya msikieni huyu andazi is tanzania route shorter than kenya??? Usitafute njia ya kutokea uganda waliona land policy yenu ingechukua pesa nyingi na ingechukua muda sana kufanya compensations, na pili hamuna security ya uhakika lakin kenya route was shorter than tanzania route

Eti pipeline mupeleke lamu wakat alshabab wanaitaka lamu 😀😀😀😀 mlikua munawaingiza waganda chaka
 
Nyie ni juzi mlitoka apo ldc mwaka 2014 kama sijaskosea,sio kwamba mligradute 1994 uache ufala, so muda sio mwingi tutatoka group Ilo
Si tena mnasema wazungu ndo waltutoa LDC kabla ya kupata Uhuru??
 
Back
Top Bottom