Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

That's good for him...nyerere had no benefit for his family and the country at large....Tanzania is still an LDC
Lakini watu wake wote wakiwa na haki ya kumiliki ardhi na uchumi

Kenyatta amewaachia ukabila na maskini wakutupwa

Ndo maana karne hii kenya kuna njaa mpaka wototo wanaishi kwa kunywa maziwa ya mbwa hiyo ni laana iliyoletwa na kenyatta
 
That's good for him...nyerere had no benefit for his family and the country at large....Tanzania is still an LDC
Lakini watu wake wote wakiwa na haki ya kumiliki ardhi na uchumi

Kenyatta amewaachia ukabila na maskini wakutupwa

Ndo maana karne hii kenya kuna njaa mpaka wototo wanaishi kwa kunywa maziwa ya mbwa hiyo ni laana iliyoletwa na kenyatta
 
hahahahaha asubuhi ya leo haijawa nzuri kwa wakenya wa jf....thread imewalalia sana.

wamepaniki sana.
 
kutoka leo yafaa ujue hauna ardhi hapo ldc state, sawa?
last year nilitumia hati ya shamba langu kama dhamana ya kuchukulia mkopo bank na nilifanikiwa kuchukua mkopo.

sasa kama ardhi si mali yangu ni mali ya government, ilikuwaje bank ikaniamini na kunipa mkopo wa mamilioni?.

ukijibu kwa emotions nitajua wewe ni kilaza.
 
Ndivyo walivyo hiyo video inaonesha wakenya waliandamana kumpinga trump Hehehe yale maamdamano ya wanawake wa kimarekani kumpinga trump nao wakenya waliungana nao najaribu kutafuta connection kati ya marekani na Kenya sioni.

Juzi trump amesema nchi za Afrika ni shithole, African Union wakaungana wote kulaani hiyo kauli, Kenya pekee ndio imemtetea trump na kumuunga mkono tena official state statement hapo unaweza kuona ni namna gani wakenya walivyowatumwa kwa wazungu mpaka kesho.
Wanatetea ndoa za kakazao walio olewa marekani
 
Maybe kuna Tanzania mbili. The last time I asked, I was told that the government of Tanzania owns all the land in Tanzania which it then leases to its citizens for a period of 99 years. Dear Tanzanians, let me remind you that when you lease something, it doesn't belong to you. Hiyo ni mali ya serikali yenu, si yako!
Ndio unaweza kusema vyovyote lakini huwezi dhulumiwa ardhi yako na mtu yeyote serikalini na endapo miradi ya Serikali kama miundombinu ikipita kwenye eneo lako utalipwa mpaka mche wa sukuma uliouotesha kwenye ardhi yako na mara nyingi serikali ikikulipa kama kuna eneo lingine inawapa ardhi nyingine bure.


Chukulia mfano kule Morogoro na Dar kuna wananchi walijenga kwenye maeneo hatari ambapo kipindi cha mvua panakua bahari lakini serikali ilitafuta maeneo mengine ikawagaia bure tena maeneo makubwa na title deed wakapewa viwanja vipi surveyed kabisa.

Swali Je kama serikali haimiliki ardhi hao wananchi wangepata huo msaada?
 
last year nilitumia hati ya shamba langu kama dhamana ya kuchukulia mkopo bank na nilifanikiwa kuchukua mkopo.

sasa kama ardhi si mali yangu ni mali ya government, ilikuwaje bank ikaniamini na kunipa mkopo wa mamilioni?.

ukijibu kwa emotions nitajua wewe ni kilaza.
Ulipewa mkopo because that's government property. The bank knew that with the land belonging to the government, their investment were in safe hands. Hamna ardhi Tanzania kijana, hiyo ardhi unataja taja hapa ni mali ya serukali. Yafaa mkubali vitu zingine. You don't have to be perfect in everything. In matters land, ujamaa made you slaves in your own country. Kubali tu yaishe
 
Ati tunamiliki ardhi na wakenya hawamiliki ardhi.....wakati ni kulease mna lease kutoka kwa serikali alafu mnaona ni jambo la kusherekea..mibongo jameni
 
Nyerere made sure Tanzanians ni maskini wa kutupwa and illiterate...what an ugly lord of poverty
Huna unachokijua ww nanga, Nyerere enzi zake alitoa scholarships mob watu walisoma sana urusi, china, Quba na sehemu zingine...even madaktar wengi wazee zaidi ya nusu yao walisoma nje. ...
Huna unachokijua vunga tu,
Papasi tu
 
Fidia ni kitu inafanyika hata huku kenya...huwezi kuzuia mradi wa serikali kwa shamba lako. Tofauti ya kenya na Tanzania ni kwamba kwenu serikali inamiliki ardhi yote kwa hivyo hakuna mtanzania anaweza sema anamiliki ardhi. mnachifanya ni kwamba mnalease ardhi kutoka kwa serikali ambayo ndio mmiliki wa ardhi. In kenya, we own land 100%.We don't lease it from the government whatsoever. Sasa kati ya mtanzania na mkenya, nani hana ardhi?
Watz tunamiliki ardhi hutak kanyee mbele huko bt ukwel ndio huo idiot
 
Ulipewa mkopo because that's government property. The bank knew that with the land belonging to the government, their investment were in safe hands. Hamna ardhi Tanzania kijana, hiyo ardhi unataja taja hapa ni mali ya serukali. Yafaa mkubali vitu zingine. You don't have to be perfect in everything. In matters land, ujamaa made you slaves in your own country. Kubali tu yaishe
Narudia tena Tanzania serikari ni mimi na watanzanzania wenzangu(yaani sisi sote) lakini kwenu serikari ni ya familia fulani au kabila fulani

Kwaiyo ardhi ikiwa inamilikiwa na serikari bado mmiliki ni mimi kwakua mimi ndo serikali
 
Ulipewa mkopo because that's government property. The bank knew that with the land belonging to the government, their investment were in safe hands. Hamna ardhi Tanzania kijana, hiyo ardhi unataja taja hapa ni mali ya serukali. Yafaa mkubali vitu zingine. You don't have to be perfect in everything. In matters land, ujamaa made you slaves in your own country. Kubali tu yaishe
Hehehe unachekesha kwani nyie hamlipi property taxes huko Kenya.?

Mimi nafikiri ardhi ni mali yenu moja kwa moja no property taxes, no forced compensation kuna mkenya ambae anaweza kukomaa hakuna kupokea fidia kama sitaki eneo langu lichukuliwe na serikali na mahakama ikamkingia kifua??

Sasa kama serikali ikitaka eneo lako inalichukua tu hata uende mahakamani huo umiliki wako ni upi?
 
Ulipewa mkopo because that's government property. The bank knew that with the land belonging to the government, their investment were in safe hands. Hamna ardhi Tanzania kijana, hiyo ardhi unataja taja hapa ni mali ya serukali. Yafaa mkubali vitu zingine. You don't have to be perfect in everything. In matters land, ujamaa made you slaves in your own country. Kubali tu yaishe
Kuishi kwakunywa maziwa yaumbwa na kumiliki ardhi kwa miaka 99 kipi bora
 
Ulipewa mkopo because that's government property. The bank knew that with the land belonging to the government, their investment were in safe hands. Hamna ardhi Tanzania kijana, hiyo ardhi unataja taja hapa ni mali ya serukali. Yafaa mkubali vitu zingine. You don't have to be perfect in everything. In matters land, ujamaa made you slaves in your own country. Kubali tu yaishe
kilaza.
 
Back
Top Bottom