joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Watu wanaotoka mikoani na vijijini ambako huko ndiko kwenye ardhi zao, wanapofika mijini hasa Dar, wanapenda kuwa karibu na mjini, hasa karibu na barabara ili iwe rahisi kwenda na kurudi kutoka kazini.Haya tutumie common sense hapa....hapo juu mmetueleza kila mtanzania anamiliki ardhi Tanzania..swali inakua nini inachangia mtu kujengwa kwenye road reserve?