Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

current progress of tazara flyover, shape shifting day by day. hapa kazi tu.
882ac14acb11474a9dab12b9ab6e7e95.jpg
2bb1ce4c7e8fba0b3cc1e5fc9c85a8fb.jpg
15baa92b59e9a3f9f69f8ca5d6ffa9c6.jpg
a2d054a42eaf49c7263d65fe52ee64fa.jpg
4c47791133e622e8df80d7d7247a0473.jpg
400559a957ae48e81723ecfec36c0d2a.jpg
Tanzania is building its first flyover 50 years since independence and showing ut to the world to see how progressive their country is. Then someone wonders why this country is called an ldc
 
Tanzania is building its first flyover 50 years since independence and showing ut to the world to see how progressive their country is. Then someone wonders why this country is called an ldc
hasira hasara
 
FIFA has its headquarters in Zurich, Switzerland. Does that make it a swiss thing? African Union has its headquarters in Addis Ababa, does that make it an Ethiopian thing? you are the biggest dimwit. And I repeat here again THERE'S NO TANZANIAN COMPANY OPERATING IN KENYA, eat that bongolala
hasira
 
Naona leo kibera haina 2.5 million people....Hao wengine milioni mbili wameenda wapi?
Kibera kila mtu hua anakuja na data zake kuhusu pop ...mara kadhaa wameandika 2.5M, 700k au 250k sasa sisi kama watanzania tuliona sio vyema kupunguza idadi ya watu ili waonekane wachache tukaamua tutumie iyo 2.5M kwa kuzingatia kwamba binadamu wote ni sawa haijalishi unaishi kibera au Karen

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Hawa mabwana achana nao mkuu,ukiwa tofauti na mawazo yao lazima wanakuita mkenya lakini hao wakenya kuna maeneo wanakubali makosa lakini si Hawa wabongo wa humu but hiyo ni ishara ya kutokujiamini tu
Ukweli utabakia kuwa miji yetu yote iko disorganized kabisaa,hebu imagine hadi Malawi wametushinda.Hata ungejenga magorofa mazuri kiasi gani lakini kama yako kwenye maeneo yasiyopimwa hakuna maana.From mwenge kuja mjini kandokando ya barabara ni magorofa but nyuma ya hayo majengo hakuna tofauti na hiyo kibera wanatoishupalia humu hasa pale victoria. Wabongo tukubali ukweli ili tubadilike.Hakuna jambo linaniuma kama serikali kushindwa kupanga miji yetu,I hate ccm hasa kwa hii issue
uzushi na uongo ni sifa za asiye taka kutafiti jambo lolote bali kwenda na hisia.unazungumzia victori nyuma ya majengo yapi ambapo kuna slums???

bora hata ungetaja eneo lingine kijana,hilo eneo upande wa kushoto kumejaa nyumba za viongozi za serikali na kulia ni nyumba binafsi geti baada ya geti.sijui slums umeziona wapi???embu leta picha utuumbue lol.
 
Kibera kila mtu hua anakuja na data zake kuhusu pop ...mara kadhaa wameandika 2.5M, 700k au 250k sasa sisi kama watanzania tuliona sio vyema kupunguza idadi ya watu ili waonekane wachache tukaamua tutumie iyo 2.5M kwa kuzingatia kwamba binadamu wote ni sawa haijalishi unaishi kibera au Karen

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
The registered number of voters in Kibera according to official IEBC register is 98,000 people. That should tell you something. Hata hiyo 250,000 is still an inflated figure.
 
Arrogant stupid Kenyan boy. Hundreds if not thousands of your brother earn their daily bread in the country you call shithole.
As I always say, Kenya is just another third world country nothing more nothing less!

well said brother, this arrogant kenyan fool knows nothing.
 
Tanzania is building its first flyover 50 years since independence and showing ut to the world to see how progressive their country is. Then someone wonders why this country is called an ldc

hypocrite. wakati yakwenu mmejenga miaka ya hivi karibuni tu pia.
 
Acha uongo mkuu,,uwanja wa michezo wa Jk haujawah kuwa ni public au maakum kwa watito watu,only selected ones,tunataka kuwe na maeneo ya public garden angalau kama pale mnazi mtu unaingia kwa free
We jamaa utakua umelogwa sio BURE, Tangu lini Jk wakatoza hela kuingia pale??? Ile ni Public ukifika pale kama ni Mara ya kwanza unaandikisha jina wanaliingiza kwenye Computer basi next time ukija unaingia tu free ila kwa watoto wao ni free wanaingia tu bila kuandika.. Pale panaitwa jakaya Kikwete youth park ni maalum kwa Watoto lakini MTU yoyote yule anaingia free kucheza, kuangalia vyovyote.. Tanzania hatuna ukabila huku vitu vyote ni viliyopangwa kua public ni kwakila MTU..
 
The registered number of voters in Kibera according to official IEBC register is 98,000 people. That should tell you something. Hata hiyo 250,000 is still an inflated figure.
The registered number of voters in Kibera according to official IEBC register is 98,000 people. That should tell you something. Hata hiyo 250,000 is still an inflated figure.
buda usiache kichwa nje hata kama unataka kwenda chooni.

hivi huko kwenu kenya wapiga kura ni mpaka watoto under 18??hakuna wazee,vipi waliokata tamaa na mambo ya kupiga kura??
 
buda usiache kichwa nje hata kama unataka kwenda chooni.

hivi huko kwenu kenya wapiga kura ni mpaka watoto under 18??hakuna wazee,vipi waliokata tamaa na mambo ya kupiga kura??
So you know more about kenyan election affairs more than us kenyans? Sawa basi Kibera has 10 million registered voters Happy now?
 
Subscribe to read

Twenty-three African states, including South Africa, Nigeria and Kenya, have launched a single aviation market in a bid to boost connectivity, reduce fares and stimulate economic growth on a continent widely considered the most expensive and inconvenient to fly around.
 
So you know more about kenyan election affairs more than us kenyans? Sawa basi Kibera has 10 million registered voters Happy now?
huwezi jifanya mwehu na tunajua unazo akili tiimamu.
 
We jamaa utakua umelogwa sio BURE, Tangu lini Jk wakatoza hela kuingia pale??? Ile ni Public ukifika pale kama ni Mara ya kwanza unaandikisha jina wanaliingiza kwenye Computer basi next time ukija unaingia tu free ila kwa watoto wao ni free wanaingia tu bila kuandika.. Pale panaitwa jakaya Kikwete youth park ni maalum kwa Watoto lakini MTU yoyote yule anaingia free kucheza, kuangalia vyovyote.. Tanzania hatuna ukabila huku vitu vyote ni viliyopangwa kua public ni kwakila MTU..
mkuu kuna watu tukiwaita ni wakenya wanakataa lakini wanaumbuka baada ya hatia mbili mbele,

mimi niliamua kumuacha tu.
 
Back
Top Bottom