Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We jamaa huwa uko empty kwenye ubongo afu unajiona mwerevu sana...haya nijibu, wakati huwa unakuja kusifia kale kabillionare kenyu kamoja na 79% ya watanzania ni maskini wa kutupwa fahari ndo ipo wapi hapo??watanzania wenzako wanaona heri kupitia shida wakiomba omba mijini Kenya kuliko kuishi Tanzania fahari ipo wapi hapo??....yani ukisema wengine hawana akili mtu anaezadhani we mwerevu kumbe akilini umejaza tu maji
Mimi binafsi sijawahi sifia utajiri wa mtu mmoja mmoja, na mtanzania anayefanya hivyo inawezekana anafanya hivyo kama kujibu mapigo ya ninyi kusifia idadi yenu ya milionea, lakini ninyi huu ndiyo wimbo wenu kila mara mnaposhindwa kupata mambo ya kuisifia nchi yenu huwa mnakimbilia kwenye idadi ya watu maatajiri, hovyo kabisa.
 
Mimi binafsi sijawahi sifia utajiri wa mtu mmoja mmoja, na mtanzania anayefanya hivyo inawezekana anafanya hivyo kama kujibu mapigo ya ninyi kusifia idadi yenu ya milionea, lakini ninyi huu ndiyo wimbo wenu kila mara mnaposhindwa kupata mambo ya kuisifia nchi yenu huwa mnakimbilia kwenye idadi ya watu maatajiri, hovyo kabisa.
Wewe......Kama umeshindwa. Na hoja sema
 
Acha upimbi braza
Mtz anaeombaomba Ke atakua ni kichaa labda, hakuna Mbongo mwenye akili zake timamu avuke boda aje kua ombaomba huko.
Ata awe timamu ama si.timamu..wote. Ni bongolala soo acha.kunyambanyamba
 
Cladding imeshaanza kwa jengo jipya la 35 floors, PPF,naomba picha halisi zitumwe hapa.
 
while yesterday some of them were celebrating about the swearing-in of their "second president", today our president will be launching a digital passport.

go go go tanzania... hapa kazi tu.

ef9e418812fe7595c5cb414a351d0ce1.jpg
94d58697960dcb13eb38bc858cc8dde5.jpg
 
while yesterday some of them were celebrating about the swearing-in of their "second president", today our president will be launching a digital passport.

go go go tanzania... hapa kazi tu.

ef9e418812fe7595c5cb414a351d0ce1.jpg
94d58697960dcb13eb38bc858cc8dde5.jpg
wataelewa tu.
 
Wameshakata tamaa katika vita dhidi ya njaa, unemployment na land grabbing, tegemeo lao ni Tanzania kuwa ndiyo chimbuko la chakula, ajira na kujipatia ardhi.
Kwa ardhi na ajira kwa tanzania hio wasahau😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom