mombasa254
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 1,026
- 215
Watz washamba 2 walipata tower mbili..wakaringaSi huwa unasema Kibera ina watu milioni mbili? Mbona Leo unakubaliana na huyu mzungu akisema ni 250,000?
Watz washamba 2 walipata tower mbili..wakaringaSi huwa unasema Kibera ina watu milioni mbili? Mbona Leo unakubaliana na huyu mzungu akisema ni 250,000?
Guys forgive me but I just to repost this photo. I just can't get enough of it
View attachment 686969
Did I just see the colours of Kenya Airways on a plane above Dar? That's the pride of Africa. Wabongo zile mitungi zenu za gesi mnaita ndege ziko wapi?
Azam. Au ni mkenya?Kwani hizo ni za Tanzania? wewe nitajie kampuni hata moja tu ya Tanzania inayofanya biashara kenya. Pengine utaniambia diamond karanga
Hamuwezi kujilanganisha na sisi kwasababu ninyi ndiyo mnaolalamika kwamba tunawazuia kuja kufanya kazi huku, ushaona kuna mtanzania anayetaka kuja kuishi Kenya?, ninyi ndiyo kila mara tunawafukuza na kuwarudisha kwenu, mnalialia kwamba tunawanyanyasaUshai ona sisi tukijicompared na nyie. Coz nyie c our level . lkn nyie m afuatilia wakenya in all media kama senge..ili mjicompare na ss iyo ni ushamba
Kwani hizo ni za Tanzania? wewe nitajie kampuni hata moja tu ya Tanzania inayofanya biashara kenya. Pengine utaniambia diamond karanga
Azam. Au ni mkenya?
Watashtuka wakiachwa na njaa kwa kufurahia gdp iliyo mikonon mwa watu elfu kumi ....huku majority wanakunya kwenye rambo na kukosa msosiUnajua hawa wakorogocho,wanayo kasumba mbaya sana juu ya nchi nyingine za africa,hasa majirani zao.
Imafikia hatua hawaamini wanayoyaona,hivyo wanaamua kutokubaliana na ukweli wowote.
Tulikataa lini??? C ni lcd baba bt hatulali njaana report la least developed countries mnakataa.....you Tanzanians are a strange species.....si mkubali zote
wewe usijifanye punguani 😀😀😀😀Azam ndio punda milia gani Serengeti!? Millard Ayo is a little known than that other thing.
anaweza kukuipia bil Hadi unakufaAzam ndio punda milia gani Serengeti!? Millard Ayo is a little known than that other thing.
Ndoto ni "dream" na dira inaitwa "vision" kwa kiingereza.Ndoto ni kiswahili,"vision" kingereza,Mkuu ni lugha mbili tafauti hizo....nambie nini "Vision" ya Tanzania
Hamuwezi kujilanganisha na sisi kwasababu ninyi ndiyo mnaolalamika kwamba tunawazuia kuja kufanya kazi huku, ushaona kuna mtanzania anayetaka kuja kuishi Kenya?, ninyi ndiyo kila mara tunawafukuza na kuwarudisha kwenu, mnalialia kwamba tunawanyanyasa
nitajie kampuni hata moja tu ya Tanzania inayofanya biashara kenya.
muggers i just want to remind you that azam tv was the official broadcaster of cecafa tournaments that were held last in kenya.Azam ndio punda milia gani? .

kauli ya mtu aliyevunjika moyo.you are mad.....vile mmejazana Kenya.....!!!!...hahaha.But we care less ...we need the cheap labour from Tanzania.....on the other hand most Kenyans working in Tz are professionals .... kwanza kisumu hapo lwangni beach wachaga na sukuma wanauza second hand bedsheets kiajabu....na fake Chinese stuff wamebebea mgongoni

Towers zko mob zaja jiandae kulia kilio by mbwa mwiziWatz washamba 2 walipata tower mbili..wakaringa
Cha **Watz washamba 2 walipata tower mbili..wakaringa
You only attracts unprofessional people, those who struggle to go to better countries are educated people, shithole countries attract unskilled peopleyou are mad.....vile mmejazana Kenya.....!!!!...hahaha.But we care less ...we need the cheap labour from Tanzania.....on the other hand most Kenyans working in Tz are professionals .... kwanza kisumu hapo lwangni beach wachaga na sukuma wanauza second hand bedsheets kiajabu....na fake Chinese stuff wamebebea mgongoni
Ni leo baba nahisi kuanzia mida saa 4 Leo hawa watu wanaweza wakauwana tuwaombee jamani si unajua vichwa vyao vimejaa ukabila mtupuOdinga anaapishwa saa ngapi wazeeee