joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Huwa ninatumia neno akili za kuku kwa watu wanaojenga hoja kama wewe, hapa tunazungumzia mapato ya serikali yanayokwenda kusaidia wananchi moja kwa moja, wewe unazungumzia matajiri binafsi na kuwasahau wananchi walio wengi.Millionaires in Nairobi are many compared to Tanzania Uganda and Rwanda combined
Dunia nzima inajua kwamba Kenya has the worst ruthless economy in the continent, that 8300 citizens own 62% of the whole economy, and stupid Kenyans are celebrating this situation day on day out. By having few millionaires who own 62% of GDP and leaving only 38% for the 45M, are you happy?.