concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Sasa Ksh300,000 ni nini? 😂😂
You have never built a roof in Kenya and it shows.
Hio ni ya labor ama ni ya nini? 😂
Buda average ya usage bati kwa normal houses ya three bedroom, store ,lounge , kitchen itachukua bati za 170 kwa price ya 35,000 kwa gauge 30 inakuwa 5.9mil tsh ukiconvert kwenda ksh ni 297,000 ksh hapo bado hujaweka timber and the like kwa ajili ya kuezeka.
Sasa unataka kulinganisha mtz na mkenya anayejenga nyumba ya bati kwa 150,000 ksh🤣🤣🤣