Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa Ksh300,000 ni nini? 😂😂
You have never built a roof in Kenya and it shows.

Hio ni ya labor ama ni ya nini? 😂

Buda average ya usage bati kwa normal houses ya three bedroom, store ,lounge , kitchen itachukua bati za 170 kwa price ya 35,000 kwa gauge 30 inakuwa 5.9mil tsh ukiconvert kwenda ksh ni 297,000 ksh hapo bado hujaweka timber and the like kwa ajili ya kuezeka.
Sasa unataka kulinganisha mtz na mkenya anayejenga nyumba ya bati kwa 150,000 ksh🤣🤣🤣
 
Mko na any regulated gated estates Bongolala ama ni kila mtu na design yake na ukuta wake.
What an ugly scene. I'm glad Kenya is changing this.

Dar slum is still stuck in the Juba way of doing things.
LDC budget, LDC designs and LDC communities with no shared amenities.

Mko nyuma at least 20 years.

Within Nairobi metropolitan, you'll find hundreds of such estates of all sizes.

Mr Bajaj driver Traxtion , any similar arrangement in Bongolala? 😂😂
View attachment 3639358View attachment 3639359View attachment 3639360View attachment 3639361View attachment 3639362View attachment 3639363View attachment 3639364View attachment 3639365View attachment 3639366View attachment 3639367

View attachment 3639371


View: https://www.youtube.com/watch?v=uh14eC9Bd0M

Unanionesha nyumba zilizojengwa na companies for sale & rent?
Watanzania wanajenga nyumba zao wenyewe. with different designs. Sio same designs kama ulizopost hapo
 
Juu GOK imetoa wapi pesa ya kujenga.
Unadhani ile 1.5% sio pesa yetu?

In any case, affordable housing ata bado kufika 1% of our housing needs. Sujui propaganda gani hio ikakwambia Wakenya private hawajengi.
Ata hakuna comparison Kenya na Bongolala.

Sio pesa yenu kwa sababu unakopeshwa na haizalishi bali inaendelea kukupa burdeni ya kulipa.
Tz 10 % ya council revenue inatolewa kwa ajili ya vijana kwa ajili ya kuwakopesha at zero interest kwa mwaka , in the long-run wanakuwa more independent kuliko nyinyi mnageuzwa manamba
 
Kenya pesa yetu ni mrefu. Sisi apana LDC. We can walk and chew gum.

Tunajenga na bado tunakopesha na kupatia vijana za biashara.
Nyinyi fanyeni pale uwezo wenu umefika.
Kenya ni worse than LDC, the way watu wenu wanaishi kwenye mabanda
 
Kenya ni worse than LDC, the way waty wenu wanaishi kwenye mabanda
Si basi muongeze zile pesa mnapatia your youth, ata waweze kufungua kiosk.

youth.JPG
 
Kenya pesa yetu ni mrefu. Sisi apana LDC. We can walk and chew gum.

Tunajenga na bado tunakopesha na kupatia vijana za biashara.
Nyinyi fanyeni pale uwezo wenu umefika.

Ata as usual, Kenya is offering 3 times more to its youth than Bongolala.
View attachment 3639381

Mnakopesha mkiwa mnatumia over 40% ya revenue yenu kulipa madeni, bila mikopo hata salary hamuwez lipa, ebu jaribuni mfanye kama tz kuwakopesha vijana , muone kama withini a year hamjadefault
 
Kwa style hii ya importation ya mabasi na trucks nilitegemea Tanzania ndo ingekuwa na deficit kubwa sana, lakini gap kinaendelea kupungua , mwakani effects za ongezeko la Kodi litakapokuwa lineshika hatamu tutegemee importation ya magari ya umeme kuongezeka na uagizaji wa mafuta kupungua hivyo surplus itazidi kuongezeka .
Mwaka huu ufuta haujafanya vizuri sana ila tutegemee bado kutakuwa na surplus
Surplus imetokana na tourism imefidia, kwenye kuuza mazao ripoti inasema hatukufanya vizuri sana ila tourism ilikuja kufidia, hopefully mwisho wa mwaka, hata ivo congo surplus yao inatokana na madini meanwhile kwetu ni sekta nyingi zimechangia, kwa kifupi ela imetembea kwa watu wengi
 
Sio pesa yenu kwa sababu unakopeshwa na haizalishi bali inaendelea kukupa burdeni ya kulipa.
Tz 10 % ya council revenue inatolewa kwa ajili ya vijana kwa ajili ya kuwakopesha at zero interest kwa mwaka , in the long-run wanakuwa more independent kuliko nyinyi mnageuzwa manamba
It's a monthly tax kama any other tax.
Zote ni pesa zetu.
 
Unanionesha nyumba zilizojengwa na companies for sale & rent?
Watanzania wanajenga nyumba zao wenyewe. with different designs. Sio same designs kama ulizopost hapo
Tuliza ujuaji.
Many of these 'companies' wanauza shamba. Mnunuzi anajijengea based on design ya hio estate.
 
Buda average ya usage bati kwa normal houses ya three bedroom, store ,lounge , kitchen itachukua bati za 170 kwa price ya 35,000 kwa gauge 30 inakuwa 5.9mil tsh ukiconvert kwenda ksh ni 297,000 ksh hapo bado hujaweka timber and the like kwa ajili ya kuezeka.
Sasa unataka kulinganisha mtz na mkenya anayejenga nyumba ya bati kwa 150,000 ksh🤣🤣🤣
Roofing yangu ilinikula Ksh700,000.
Yako?

Wingi wa mabati sio...
 
Tuliza ujuaji.
Many of these 'companies' wanauza shamba. Mnunuzi anajijengea based on design ya hio estate.
Kumbe ni heri sisi tunajenga design tunazotaka. Mtaa mmoja unakuta nyumba zina design 50+ tofauti tofauti vile inafaa
 
Back
Top Bottom