Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyumba za watu WA kawaida Mbeya.

View attachment 3639045
Hiyo mitaa ilijengwa miaka ya zamani sana huko 2000s wakati Watanzania wana hali mbaya kiuchumi.
Sikuhizi watu wakijenga nyumba nzuri wanahama, halafu nyumba zao za zamani wanatumia kupangisha wageni wanaokuja Mbeya kujitafuta kimaisha, hawazibomoi. Na bado zina afadhali kuliko za Kenya ambazo zimejengwa kwa mabati na matope

Sikuhizi, Watanzania wanakua kiuchumi kwa kasi sana ndio maana leo hii ukija Mbeya kuna ujenzi wa kasi sana mitaa mipya. Kila mtu anajenga nyumba nzuri kwa speed ambayo you'll ever dream of in Kenya. Nyinyi subirini Ruto amalizie zile affordable houses zenu ndio mpate pa kuishi, ambako napo in just 5 years panakua kama Pipeline 🚮
 
Hiyo mitaa ilijengwa miaka ya zamani sana huko 2000s wakati Watanzania wana hali mbaya kiuchumi.
Sikuhizi watu wakijenga nyumba nzuri wanahama, halafu nyumba zao za zamani wanatumia kupangisha wageni wanaokuja Mbeya kujitafuta kimaisha, hawazibomoi. Na bado zina afadhali kuliko za Kenya ambazo zimejengwa kwa mabati na matope

Sikuhizi, Watanzania wanakua kiuchumi kwa kasi sana ndio maana leo hii ukija Mbeya kuna ujenzi wa kasi sana mitaa mipya. Kila mtu anajenga nyumba nzuri kwa speed ambayo you'll ever dream of in Kenya. Nyinyi subirini Ruto amalizie zile affordable houses zenu ndio mpate pa kuishi, ambako napo in just 5 years panakua kama Pipeline 🚮
Sasa mbona uandike composition when the truth is here?👇👇
1785314372422.jpeg
 
This place was a bush 3 years ago
Sasa huku ndio wakazi wa Mbeya wanakojenga. Mitaa ya hivi ipo mingi na ndio inareflect uchumi wa average Tanzanians in 2026
Just 5 years to come these houses will be everywhere in Mbeya. Tunaendelea faster than you. Tunazidi kuwaacha nyuma kwenye maisha ya mtu mmoja mmoja
PXL_20260625_112203689.MP.jpg
PXL_20260625_112646857.jpg
PXL_20260625_113255267.MP.jpg
 
Unataka statistics kwa informal sector kweli nyinyi mazumbukuku.🤣🤣🤣🤣

Sasa kwanza nikupe tu hesabu ya muuza chips wa kawaida sana kwa sehem kama Dodoma au aliyekaribu na chuo, stendi na kadhalika .
Faida ya sahani moja huwa ni 500 tsh per plate .
Wengi kwa siku wanauza zaidi ya plates 100 , so wanalala na zaid ya 50,000 hapo hatujaweka hesabu yavipaja vya kukubmishikaki na kadhalika .
Kwa siku 25 anatoka 62500 ksh .
Sasa jiulize kwa hiyo pesa anashindwa kujenga nyumba ya 25mil kwa miaka miwili ?
Buda tanzania sio Kenya.
Huku hata kondakta wa basi au dereva wa kawaida tu anamiliki hiyo mijengo
wait kabla kunihubiria tuende polepole.
So tuseme anatengeneza hio 50,000 kwa siku, hio ni net profit ama pesa zitakazorudi kwa biashara, kuna expenses ku restock viazi,mafuta viungo, gas, rent etc.
Ukishatoa hayo, usisahau lazima huyo mtu aishi, so alipokaa ana matumizi yake ya nyumba kama bills alafu labda karo ya watoto, au matumizi mengine how much is being saved kwa hio 50,000?
Nataka tuwe practical hapa because hata Nairobi bodaboda operators hutengeneza hata 6-10k ksh kwa siku, but that doesn’t mean he can suddenly afford a 1million shillings house because that is not net and there are expenses. Therefore hio affordable housing can make sense to him kwa sababu akilipa 3800 kwa rent to own itakuwa very reasonable.
 

View: https://x.com/moneyacademyke/status/2082360478148468886?s=46

wait kabla kunihubiria tuende polepole.
So tuseme anatengeneza hio 50,000 kwa siku, hio ni net profit ama pesa zitakazorudi kwa biashara, kuna expenses ku restock viazi,mafuta viungo, gas, rent etc.
Ukishatoa hayo, usisahau lazima huyo mtu aishi, so alipokaa ana matumizi yake ya nyumba kama bills alafu labda karo ya watoto, au matumizi mengine how much is being saved kwa hio 50,000?
Nataka tuwe practical hapa

I think this guy is just doing guess work. Business is beyond buying and selling.

There are also other miscellaneous and emergency that will arise.
 
Watasema they have no time to list towers yet ikianza kujengwa ya twenty floors and above they will be posting it here daily. 🤣 🤣
Kitu wananishangaza nayo is that someone is saying that they don't have time to look for the buildings under construction then within minutes he posts a picture Kenyan affordable housing.

So I'm left wondering if this time only becomes available when he wants to know something about Kenya but suddenly disappears when he is told to post a 20 floors building under construction in Tanzania 😂😂
 
Do you even know how profit and loss in calculated? Kindly tell us how you have arrived to this profit.

1. What's the cost of viazi per plate?
2.What's the cost of cooking oil per plate?
3.What's the cost of energy per plate?
4.What's the cost of tomato source/Chilli Source per plate?
5. What's the cost of salt per plate?
6.What's the cost of labour?
7. What's the cost of electricity per plate?
8. What's the cost of rent per plate?

Now tell us how much is the selling price per plate.

From there we can calculate if they are making profit or losses.
Thank you, this guy is assuming gross earnings to be net profit.Hio hesabu ametupea sio practical at all Hata kama hakuenda shule hio sio excuse juu yeye ni adult, kwani hafanyi biashara ama kazi?

Kusema a guy working in small businesses after all business and personal expenses is saving an equivalent of ksh 62,500 na ni mtu wa kawaida in Tanzania is just insane, that’s a rich person! who wouldn’t wish to save 62,500 per month after paying for everything 🤣🤣🤣
 
I think this guy is just doing guess work. Business is beyond buying and selling.

There are also other miscellaneous and emergency that will arise.
He's not doing guess work, he clearly has never run a business. That is how people who have never run businesses reason and that's how anyone thinks before they actually start running a business. Ukishaingia ndio utajua. Nikijaribu kumpa tu mifano.
1. You could buy a sack of potatoes and it all spoils before you turn it into chips.
2. Not everyday will you sell everything, potatoes are perishable. Everytime you don't sell everything translates into a loss.
3. He completely ignored expenses such as transportation, licenses, water etc from his calculation.
4. Weather - you can't fry and sell chips on a rainy day in an open air scenario
5. Competition
6. Price fluctuation
7. Personal issues.
The list is just too long and even still, if by some miracle you manage to regularly make the 62k, it's that really an amount that can build you a mansion? Watu waache mchezo buana. 62k ukitumia vizuri saana you can save 20k in a month for a family man - that is you living a modest lifestyle. How is 20k a month going to build you a mansion?

Ananikumbusha nikiwa campus nikipiga hesabu za kuanzisha retail shop. My calculation brought me to at least 3k per day. Ville nilianzisha hiyo biz I realized I was struggling to even pay rent. It's called naivety.
 
Kitu wananishangaza nayo is that someone is saying that they don't have time to look for the buildings under construction then within minutes he posts a picture Kenyan affordable housing.

So I'm left wondering if this time only becomes available when he wants to know something about Kenya but suddenly disappears when he is told to post a 20 floors building under construction in Tanzania 😂😂
They know every negative thing going on in Kenya. They know every building that has collapsed in Kenya. They know when our SGR isn't getting enough passengers, they know when Ruto falls out with Kindiki but they can't name a handfull of towers over 20 floors in Dar es Salaam.😂😂😂😂
 
He's not doing guess work, he clearly has never run a business. That is how people who have never run businesses reason and that's how anyone thinks before they actually start running a business. Ukishaingia ndio utajua. Nikijaribu kumpa tu mifano.
1. You could buy a sack of potatoes and it all spoils before you turn it into chips.
2. Not everyday will you sell everything, potatoes are perishable. Everytime you don't sell everything translates into a loss.
3. He completely ignored expenses such as transportation, licenses, water etc from his calculation.
4. Weather - you can't fry and sell chips on a rainy day in an open air scenario
5. Competition
6. Price fluctuation
7. Personal issues.
The list is just too long and even still, if by some miracle you manage to regularly make the 62k, it's that really an amount that can build you a mansion? Watu waache mchezo buana. 62k ukitumia vizuri saana you can save 20k in a month for a family man - that is you living a modest lifestyle. How is 15k a month going to build you a mansion?

Ananikumbusha nikiwa campus nikipiga hesabu za kuanzisha retail shop. My calculation brought me to at least 3k per day. Ville nilianzisha hiyo biz I realized I was struggling to even pay rent. It's called naivety.
I could tell from his post that he lacks basic understanding of how business works by his stupid argument that even everyday chips sellers build big houses, which is why I asked him to break it down for me only for him to shoot himself on the foot.
Saving ksh 62,500 per month is a dream even for a person in Europe, let alone an average Joe in a low income Dodoma
 
You don't know how to calculate profit and loss.

Wakunyaa njaa Kali sanaa...

Unaposikia mtu anasema analaza 50k kila siku hiyo ujue ni net profit.

Kwenye vibanda vya chips ni kawaida sana kulaza hiyo 50k kila siku baada ya kutoa gharama zote na matumizi. Huku Bei ya Gunia la viazi ambalo ni kilo 100, Lina range kwenye 60k-80k.

Tena vijana wa chips za mtaani tu vibarazani barabarani wanapata hiyo 50k, acha wale ambao wameji brand kidogo ambao wanapata Hela nyingi zaidi.

Huku hata dereva wa Daladala tu analaza 50k deile na kondakta wake... Na hapo Gari inarudi ikiwa full tank na hesabu ya boss Iko pembeni 100k deile... Ndio maana mji huku umechangamkaa.
 
They know every negative thing going on in Kenya. They know every building that has collapsed in Kenya. They know when our SGR isn't getting enough passengers, they know when Ruto falls out with Kindiki but they can't name a handfull of towers over 20 floors in Dar es Salaam.😂😂😂😂
Mwingine ameniambia that they have uncountable buildings under construction in Dar that are above 20 floors, but now showing the picture of at least 3 of those uncountable hawezi😂
 
I could tell from his post that he lacks basic understanding of how business works by his stupid argument that even everyday chips sellers build big houses, which is why I asked him to break it down for me only for him to shoot himself on the foot.
Saving ksh 62,500 per month is a dream even for a person in Europe, let alone an average Joe in a low income Dodoma
Especially on informal employment. You know a teacher earning that amount and lives in a village could build a grand bungalow through a government loan. But someone selling chips in a town or city - man. These people are jokers. 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom