Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂 Usijali, tutakutafutia kazi hapa. Weka your welding papers tayari.

Kijani Ridge is now probably in Kenya's top 10 best estates, which means in Bongolala it would be top 3. And most likely number 1 when it comes to cost of land.

One house in Kijani Ridge is worth half of Tandale 😂


View: https://www.youtube.com/watch?v=_s_NEDgdbXE

Hii village iko very forced. It won't go anywhere
 
Caretaker leta video ya hio slow speed electric sgr yenu ikivuta wagons. Najua ata kufikisha wagons kumi ni balaa 😂😂

Tafuta WiFi uhesabu hizi.


View: https://web.facebook.com/watch/?v=432908690571653


View: https://www.tiktok.com/@mohamedsalim786/video/7491377657033002245

Sasa umeleta nini hapo ? Hizo ni less than 44 wagons , first train Iko na 37 wagons in total 74 containers still yet below the Tanzania specification
Screenshot_20260218-140848~2.jpg
Screenshot_20260218-140235~2.jpg
 
Kwanza anajua hata target market ya hiyo Angola ?
Export nyingi zinaenda Asia na hata imports nyingi kutoka afrika zinaenda Asia.
Hivi anajua mpaka sasa pamoja na kuwa Zambia imepakana na Angola ila hakuna hata barabara ya kuwaunganisha sembuse hiyo reli, Zambia bado atasafirisha sana mizigo kwenda Asia kupitia Tanzania.
Your target customer is going west😂😂


View: https://x.com/i/status/2073062733054910938
 
Kwanza anajua hata target market ya hiyo Angola ?
Export nyingi zinaenda Asia na hata imports nyingi kutoka afrika zinaenda Asia.
Hivi anajua mpaka sasa pamoja na kuwa Zambia imepakana na Angola ila hakuna hata barabara ya kuwaunganisha sembuse hiyo reli, Zambia bado atasafirisha sana mizigo kwenda Asia kupitia Tanzania.
Na mjue USA has bigger interest in DRC, this railway is take minerals from DRC to USA through Atlantic Ocean which is shorter than through Indian Ocean.


View: https://x.com/i/status/2079904039530082505
 
Sgr ya kina maku imestuck naivasha mwaka wa 10 sasa,kila mtu hataki kuifund 😂,mu7 kawaingiza chaka halafu mwenyewe huyo anajoin sgr yetu 🤣🤣
Kwani siku hizi border ya Tanzania na Uganda iko Malaba? Cause the last time I checked Ugandan SGR was heading towards Malaba.
 
Na mjue USA has bigger interest in DRC, this railway is take minerals from DRC to USA through Atlantic Ocean which is shorter than through Indian Ocean.


View: https://x.com/i/status/2079904039530082505

Haha basi you lack information , annual eg . Annual cobalt production in congo ni 204,148 tonnes ambapo 109,159 tonnes ziko produced by Chinese firms while the remaining 94,989 tones ndo non Chinese firms akiwemo na USA.
Sasa fikiria kama cobalt Chinese wanabeba zaid ya 67.9 % ya total production , USA mzigo atapata wapi wa kusafirisha? Tukiachana na minerals , ni nchi gani afrika itaweza import commodities kama magari , nguo na kadhalika Toka USA aachane na china kwenye bei rahisi.
 
Haha ku electrify tu haimanishi ndo uta attain higher speeds, point Iko ili uweze kupata spidi kama ya tz utahitajika ufanye renovation kuanzia kwenye minimum curves, signalling system and welding of the whole line , hicho ulichoweka ni electrification tu.
Electrification haisadii kuongeza spidi Buda bali quality ya line yenyewe. Hata mki electrify Leo hamuwez attain spidi ya 160km/hr
Says a fool with no any engineering knowledge.
 
Haha basi you lack information , annual eg . Annual cobalt production in congo ni 204,148 tonnes ambapo 109,159 tonnes ziko produced by Chinese firms while the remaining 94,989 tones ndo non Chinese firms akiwemo na USA.
Sasa fikiria kama cobalt Chinese wanabeba zaid ya 67.9 % ya total production , USA mzigo atapata wapi wa kusafirisha? Tukiachana na minerals , ni nchi gani afrika itaweza import commodities kama magari , nguo na kadhalika Toka USA aachane na china kwenye bei rahisi.
There's a reason China is not building railways in DRC but USA does. All those minerals will be heading to USA using the Atlantic Ocean. Nyinyi maybe hiyo SGR yenu ifikishe Tu mahindi Burundi 😂😂
 
Na mjue USA has bigger interest in DRC, this railway is take minerals from
IMG-20260723-WA0000.jpg
DRC to USA through Atlantic Ocean which is shorter than through Indian Ocean.


View: https://x.com/i/status/2079904039530082505


IMG-20260723-WA0000.jpg
Haina, Kwanza iko tu na training pitch moja. Talanta will have 3.
Hata zingekuwa 10 bado utabaki kuwa na stadium 2 na itabidi uwe groups mbili during AFCON 2027 hence less less revenue, compared na tz kwenye stadia 3 na possibility ya addition ya 4th stadia ili ziwe 4 hence 4 groups na possibility ya kuwa na matches nyingi kuliko nyinyi wenye playing ground 4 .
Tukiachana na playing grounds to kwa dar es salaam and the like kuna external training fields kibao hakuna haja ya kuweka mayai yote kwa basket moja
 
View attachment 3635176
Hata zingekuwa 10 bado utabaki kuwa na stadium 2 na itabidi uwe groups mbili during AFCON 2027 hence less less revenue, compared na tz kwenye stadia 3 na possibility ya addition ya 4th stadia ili ziwe 4 hence 4 groups na possibility ya kuwa na matches nyingi kuliko nyinyi wenye playing ground 4 .
Tukiachana na playing grounds to kwa dar es salaam and the like kuna external training fields kibao hakuna haja ya kuweka mayai yote kwa basket moja
Revenue gani unaongelea yet well know your stadiums will always remain empty during the matches?🤣🤣😂🤣.

Better to have one stadium which will be filled daily than to have 2 that will have technical personnel of the playing teams.
 
Revenue gani unaongelea yet well know your stadiums will always remain empty during the matches?🤣🤣😂🤣.

Better to have one stadium which will be filled daily than to have 2 that will have technical personnel of the playing teams.

Ebu tusaidie the leading nation in March revenue ni ipi Tanzania Iko na record ya 600mil per match au 30mil ksh, ebu tuletee match yoyote ya Kenya iliyowahi vuka atleast 12mil ksh Toka 1960
 
Ebu tusaidie the leading nation in March revenue ni ipi Tanzania Iko na record ya 600mil per match au 30mil ksh, ebu tuletee match yoyote ya Kenya iliyowahi vuka atleast 12mil ksh Toka 1960
We all know Tanzanians only watch Simba and Tanga matches. I dare you to show us the revenue of Simba Vs any other team apart from Yanga. Or Yanga Vs any other team apart from Simba.

Even games za your national team you can't attend 😂😂

Remember AFCON will not be Simba Vs Yanga.
 
Back
Top Bottom