Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe lofa kweli...

Yani atumie zaidi ya nusu ya utajiri wake kwenye refinery ya kunyaland ambayo haina uhakika wa soko!?
So wewe unajua zaidi kuliko Dangote, when did you do your research to conclude that hiyo refinery yake haitakuwa na soko?

By the way the first customer of that refinery will be Tanzania. Bookmark this😂😂
 
So wewe unajua zaidi kuliko Dangote, when did you do your research to conclude that hiyo refinery yake haitakuwa na soko?

By the way the first customer of that refinery will be Tanzania. Bookmark this😂😂

Hapa unaleta ubishi tu na ukora.. Tanzania Ina uhuru wa kununua mafuta popote tu ili mradi Kuna Bei nzuri... Hatutafungwa na mkataba wa mtu yoyote.
 
Asanteni sana coodip1 na Geza Ulole for the Hoima to Tanga pipeline.
You have done most of the donkey work for Dangote and Kenya.

If Uganda wants to sell their oil to Dangote, it will be quite cheap for us to extend the pipeline from Tanga to Lamu. About 400km.

View attachment 3626075
You guys are really stupid!

If Dangote is going to fetch crude oil from the Hoima pipeline to Lamu, what must the investment for Tanga have been?
Which country would allow that? Do you know the contractual terms for this "pipeline" investment?

Tanzania is going to have its own refinery.

Over the years, many Kenyan projects have unfortunately stalled or fallen short of expectations, primarily due to inadequate planning and execution. Notable examples include the SGR and Talanta projects.

Hivi ndio waga ccm inawapumbaza?
Kuna mchezo unachezwa hapa sijui itakaaje kwenye walio jikoni watujuze za chini ya kapeti.

View: https://web.facebook.com/share/p/192mv26Tvw/

Kwa ndoto?😂😂🤣

Nyie Wakenya elimu yenu elimu yenu imewaharibu uwezo wa kufikiri na kufanya mambo. Hamna mnachojua zaidi ya kusubmit CVs na kukimbilia kufanya mambo kwa show off.

View: https://x.com/KipepeComrade/status/2053444964860702918
 
Wewe lofa kweli...

Yani atumie zaidi ya nusu ya utajiri wake kwenye refinery ya kunyaland ambayo haina uhakika wa soko!?
LDC mtalia na kukohoa mpaka damu.
Dangote is moving serious cash. Mtahangaika sana kama Forbes value ndio mnatumia kupima. Kwanza, it's very inaccurate.

Pili, Dangote's Forbes wealth is individual wealth. Kampuni zake ambazo anacontrol, he doesn't own 100%.
So, bongolala ujamaa curriculum, unapima uwezo wa Dangote ltd, sio Dangote the person.

Dangote Cement made $233 million in just 3 months this year - From January to March 2026.

$20 billion in 5 years is just $4 billion a year.
Hio pekee imelipiwa na Dangote Cement na Dangote Sugar. Hajaguza income ya mafuta bado.
 
LDC mtalia na kukohoa mpaka damu.
Dangote is moving serious cash. Mtahangaika sana kama Forbes value ndio mnatumia kupima. Kwanza, it's very inaccurate.

Pili, Dangote's Forbes wealth is individual wealth. Kampuni zake ambazo anacontrol, he doesn't own 100%.
So, bongolala ujamaa curriculum, unapima uwezo wa Dangote ltd, sio Dangote the person.

Dangote Cement made $233 million in just 3 months this year - From January to March 2026.

$20 billion in 5 years is just $4 billion a year.
Hio pekee imelipiwa na Dangote Cement na Dangote Sugar.
😂 😂 😂 Na unaongea kabisa ukiwa serious kama unaelewa kinachoendelea 😂 lets simplify it for you
1) Dangote doesnt have even $500M in cash, also trade between kenya and Nigeria is non existent so its impossible to send even $1B from nigeria to Kenya, so what he will do is,
First large percent of the loans will come from inside kenya, Since he already has a loan payment going on at major Stock Exchanges he will less likely make it happen from there, so the only option is move around East Africa for Loans or stake selling, In simple words,

He will have to collect money from within kenya and start a business with it, and the profits will be banked in nigeria 😂😂😂😂😂
 
Hapa unaleta ubishi tu na ukora.. Tanzania Ina uhuru wa kununua mafuta popote tu ili mradi Kuna Bei nzuri... Hatutafungwa na mkataba wa mtu yoyote.
Ndio nakuambia mtanunua Kenya Mpende msipende😂😂🤣.

Promixicity dictates it.
 
Ndio nakuambia mtanunua Kenya Mpende msipende😂😂🤣.

Promixicity dictates it.
au sio mwanaetu 😂😂
1783709417797.png
 
Back
Top Bottom