Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mtuvumilie wiki hizi 2
1783625881166.png
 
MY TAKE
sequential is what Magufuli from Usukumani couldn't grasp! u build a port first then railway or both parallel! Upumbavu wa watu wanatetea JPm humu ndani! Wakati kakataa $11 bln project Ukunduni wameenda ku-lobby na kusaini mikataba ya kipumbavu il ku-frustrate chances of Tanzania! Hii maneno isingekuwepo leo kama angetumia hekima na ku-negotiate na Wachina wa Bagamoy port!
Lia polepole. Pole basi 😆
 
Nilichogundua hawa jamaa wanaongelea vitu vilivyo kwenye makaratasi lkn hawana habari kama utekelezaji wake haufiki hata 40%. Maeneo mengi talanta inaonekana ni jua kali kuanzia muonekano wake mpaka ndani, ni tofauti na walivyoahidiwa, ukikuta mkenya ana brag about talanta ujue hana habari au anajua lkn anafanya kusudi.
Naona ulikuwa huwajui , hawa akili huwa hawana, ebu fikiria mwingine huko kakalilishwa sgr tz Iko 160km/hr kawekea ordinary likiwa 175km/hr bado anapingana na uhalisia

View: https://x.com/i/status/2075266722139889790
 
Asanteni sana coodip1 na Geza Ulole for the Hoima to Tanga pipeline.
You have done most of the donkey work for Dangote and Kenya.

If Uganda wants to sell their oil to Dangote, it will be quite cheap for us to extend the pipeline from Tanga to Lamu. About 400km.

pipe.JPG
 
Asanteni coodip1 na Geza Ulole for the Hoima to Tanga pipeline.
You have done most of the donkey work for Dangote and Kenya.

If Uganda wants to sell their oil to Dangote, it will be quite cheap for us to extend the pipeline from Tanga to Lamu. About 400km.

View attachment 3626075
They did the hard work, we outsmarted them 😅😅
They always pretend to be smart, juzi tu waliaibisha ruto when he announced about Dangote investing in Tanga.. now they are envying it…
 

sasa what are you winning apo? those are private projects za watu, all they need is to make profit out of you ndo unaita winning?
 
Even if it’s true, ask yourself why Tanzanian tycoons are running to Kenya, is it because Tanzania does not promise ROI? Kenyans will continue building to sell for you and then uko hapo unashobokea Kenyans ku ein ukifikiria ni vibaya 😅
uko sawa kwel? 😂 yaani mtu anakuja anachukua mkopo anatengeneza faida anairudisha kwao ndo your happy about 😂😂 baadae uanze tena kulia kwann slums ni nyingi
 
Asanteni sana coodip1 na Geza Ulole for the Hoima to Tanga pipeline.
You have done most of the donkey work for Dangote and Kenya.

If Uganda wants to sell their oil to Dangote, it will be quite cheap for us to extend the pipeline from Tanga to Lamu. About 400km.

View attachment 3626075
are you aware Tanzania owns 15% of that pipe ama umechukua tu random posts
 
They did the hard work, we outsmarted them 😅😅
They always pretend to be smart, juzi tu waliaibisha ruto when he announced about Dangote investing in Tanga.. now they are envying it…
And who are the owners of EACOP? btw unaenda kujichukulia random post from people ama ndo credible source yenu
 
Back
Top Bottom