stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 37,239
- 36,488
actually waliomba bomba juzi ruto alivokuja, najua wamekubali tu hadharani ila kihalisia tushasema hatuuzi gesi kokote wafuate mozambique kwa ships 😂😂 na hatutaki kuona bomba lolote la gesi nchini kwetu 😂Vitu za hivi wataishia kuviona kwenye picha tu. 😂😂😂.
Mijitu yanajifariji 😂 😂Yani wameshaanza na message za pre election uncertainities kabla ya AFCON!!!!!!!!!!!!!!! Kagame andaa uwanja fasta.
tulia hivo hivo uatelewa show vizuri soon kwenye skai pot, sema nn 😂😂😂 nahisi walijua kabisa majani hayawezi kuota huo upande mwingine wakalevel au unasemaje mwana etuMijitu yanajifariji 😂 😂
Class seven dropout talking like he sits in the Tanganyika cabinet 🤣🤣🤣actually waliomba bomba juzi ruto alivokuja, najua wamekubali tu hadharani ila kihalisia tushasema hatuuzi gesi kokote wafuate mozambique kwa ships 😂😂 na hatutaki kuona bomba lolote la gesi nchini kwetu 😂
Yan umeshindwa hata kujifichia aibu ndogo ndogo 😀
Nielewe nini Nyamwezi zaidi ya nyimbo nyingi tumetumbuizwa nazo humu za Talanta haitajengwa mark my words na Kenya haitaandaa AFCON?tulia hivo hivo uatelewa show vizuri soon kwenye skai pot, sema nn 😂😂😂 nahisi walijua kabisa majani hayawezi kuota huo upande mwingine wakalevel au unasemaje mwana etu
View attachment 3626583
Sema umeumia nyamwezi. Si mlitabiri nyasi haitamea? Just the same way you predicted uwanja haingejengwa! Restock your painkillersYan umeshindwa hata kujifichia aibu ndogo ndogo 😀
Ficha upumbavu wako mapua 😀Sema umeumia nyamwezi. Si mlitabiri nyasi haitamea? Just the same way you predicted uwanja haingejengwa! Restock your painkillers
This reminds me of "Talanta haitajengwa" Chronicles 😂😂😂😂Hakuna refinery kunyaland.... Ndio maana hata capital seed ambayo serikali yenu ulisema itatoa hadi Sasa bado... Na hapo bado uhakika wa soko la mafuta bado halijapatikana maana nchi nyingine za EA Zina plan zao binafsi. Ile commitment ya pamoja haipo... Na uhakika wa Monopoly kwenye soko haupo.
Na ndio maana financing ya hiyo refinery bado ni utata... Hawezi kutumia pesa yake mwenyewe kujenga. Hata kama anayoo.. otherwise itachukua hata 20 yrs ndio amalize project hiyo.
"Talanta haitajengwa mark my words, ikijengwa nahama JF..." 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ficha upumbavu wako mapua 😀
Umekuja wakati muafaka.. haya toa tongo tongo mungiki 👇🏾Nielewe nini Nyamwezi zaidi ya nyimbo nyingi tumetumbuizwa nazo humu za Talanta haitajengwa mark my words na Kenya haitaandaa AFCON?
These are kicks of a dying horse. Mnashinda mkitaja Talanta 24/7 wakati hata barabara ya kuelekea kule msituni Samia ndio hakuna!
Achana na Talanta bongolala, shugulikeni mjenga angalau barabara hapa msiwe wajinga View attachment 3626587
So now you are moving the goalposts to 6 month completion duration… Unatumia akili au ni anger issues uko nazo …😆😆Sawaaa... Within next six months construction itakuwa imemalizikaa... Na vijana Zaidi ya elfu 60 wa kunyaland watapata ajira hapo ya mjengo.
utaelewa soon kama ni class 7 drop out ama ndo uhalisia, wakati raisi wenu anakuja kusema refinery iwekwe tanga alikua phd drop out sio?Class seven dropout talking like he sits in the Tanganyika cabinet 🤣🤣🤣
Kwan AFCON mmeshaandaaa? and infact kwan hio AFCON si mnaandaa because we wanted kwan mna qualifications zozote? 😂 😂 si atleast ata uwe thankfull cecafa president did something to save you, alafu hio barabara si tushaleta video apa ujenzi ukiendelea but your still stuck na old pics 😂😂😂Nielewe nini Nyamwezi zaidi ya nyimbo nyingi tumetumbuizwa nazo humu za Talanta haitajengwa mark my words na Kenya haitaandaa AFCON?
These are kicks of a dying horse. Mnashinda mkitaja Talanta 24/7 wakati hata barabara ya kuelekea kule msituni Samia ndio hakuna!
Achana na Talanta bongolala, shugulikeni mjenga angalau barabara hapa msiwe wajinga View attachment 3626587
and how does it change this fact?Class seven dropout talking like he sits in the Tanganyika cabinet 🤣🤣🤣