Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahahaaaa duuhh hapa wakenya ruhusa kulia alooo, hii ndiyo hybrid?🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
sio hybrid tu 😂 😂 inaitwa Synthetic fiber grass
1783706294614.png
 
Wewe lofa kweli...

Yani atumie zaidi ya nusu ya utajiri wake kwenye refinery ya kunyaland ambayo haina uhakika wa soko!?
So wewe unajua zaidi kuliko Dangote, when did you do your research to conclude that hiyo refinery yake haitakuwa na soko?

By the way the first customer of that refinery will be Tanzania. Bookmark this😂😂
 
Back
Top Bottom