Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 30,814
- 33,059
Plan yenu ni gani?🤣🤣😂Na hapo bado uhakika wa soko la mafuta bado halijapatikana maana nchi nyingine za EA Zina plan zao binafsi.
Plan yenu ni gani?🤣🤣😂Na hapo bado uhakika wa soko la mafuta bado halijapatikana maana nchi nyingine za EA Zina plan zao binafsi.
Hivo ndio Dangote amekuambia?😂😂🤣Na ndio maana financing ya hiyo refinery bado ni utata
si wanajikuta wanajua siasa kuliko kula, kwanza nyangau mkenya na NairobiWalker na nairobae wameleta picha za filta apa weeee tunawachora mwishowe picha za kufukua uwanja wanazileta wao wenyeweYani wameshaanza na message za pre election uncertainities kabla ya AFCON!!!!!!!!!!!!!!! Kagame andaa uwanja fasta.
Mbona asitumie na kampuni ni yake? 🤣🤣😂Hawezi kutumia pesa yake mwenyewe kujenga.
Ushaijenga refinery kama hiyo ya Dangote before? Ama kuna yenye mshaijenga Tanzania before?😂otherwise itachukua hata 20 yrs ndio amalize project hiyo.
Na ni chawa alafu muongo muongo sn.Usisahau huyu ni mwanasiasa.
Si analipa madeni ya mwanzo ulitaka pesa atoe wap?Mbona asitumie na kampuni ni yake? 🤣🤣😂
🔨🔨🔨
Kiswahili mnajifanya hamuelewi soma kizungu uelewe hapa 👇 👇
View: https://www.instagram.com/p/Danq7POlbl-/?igsh=MW53Zzh3eTU0MzMwOA==
kwan dangote amekwambia anayo hio pesa tayar 😂Hivo ndio Dangote amekuambia?😂😂🤣
Hahahahaaaa duuhh hapa wakenya ruhusa kulia alooo, hii ndiyo hybrid?🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kwani Watanzania Wana rangi gani?Mbona nisome yet kuna picha ya mwarabu hapo?
sio hybrid tu 😂 😂 inaitwa Synthetic fiber grassHahahahaaaa duuhh hapa wakenya ruhusa kulia alooo, hii ndiyo hybrid?🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Mbona asitumie na kampuni ni yake? 🤣🤣😂