Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Who said New York,
Benjamin Mkapa remains the Largest and modern stadium in East and Central Africa pamoja na kuwa umejengwa 20 years ago. Uwanja umejengwa miaka 20 iliyopita na bado ndio uwanja bora zaidi kwenye ukanda wa Africa mashariki.
Na kufanya maboresho tunaweka tu urembo wa nje na kubadilisha roof na kuongeza sitting capacity, nothing changes on the structure)
Huo ni mfano nimekupea ndio uone jinsi analogy yako ilivyo ya kijinga.
Yani ukisema What if we decide to re-modernize Benjamin Mkapa Stadium? The running tracks we add another 20k seats, then we re-do the exteriors and the roofing? ushaakubali uwanja sio modern maanake uwanja wowote unaweza ukawa modernized na capacity ikaongezwa.
 
Mombasa has no land for that size of refinery.

Having shares in EACOP will make Dangote to change his mind and build the refinery in Tanzania?😂😂😂.

Who told you Dangote is targeting Uganda only?😂
Dangote knows he can raise any amount of seed capital by floating shares in Kenya…No other country in the region can he pull that…
 
Daily Dose
HMe2Q5jWUAABQpf
🤣🤣🤣Mbona sky boxes zimejificha
 
Huo ni mfano nimekupea ndio uone jinsi analogy yako ilivyo ya kijinga.
Yani ukisema What if we decide to re-modernize Benjamin Mkapa Stadium? The running tracks we add another 20k seats, then we re-do the exteriors and the roofing? ushaakubali uwanja sio modern maanake uwanja wowote unaweza ukawa modernized na capacity ikaongezwa.
Kaka talanta sio modern ila ni new stadium, viwanja vingi vya ki Africa vipo hivyo, modern stadium ziko mfano wa Arusha stadium.
 
Back
Top Bottom