AMARII
JF-Expert Member
- Aug 23, 2023
- 1,283
- 3,200
Wewe nyamwezi unaishi dunia gani? 🤣🤣🤣🤣
Naishi hapa embakasi jirani
Wewe nyamwezi unaishi dunia gani? 🤣🤣🤣🤣
so far Kenya it is Kenya mzee! Nina uhakika kama Bagamoyo port ingekuwa imejengwa hii kitu ingekuja Tanzania!
ngoja tukukumbushe kidogo inaonekana unasahau sanaEACOP yenye hata Rwanda haina hamu nayo tena 🤣🤣🤣
hujamwambia vizuri bana 😂Na screens za sitting room!
wakenya na mpira wap wap mzee 😂😂 wakenya wengi hawajawahi hata kupanda ndege, thats the only thing they know as a stadium, infact kuna mwingine jana alikua anatuelezea kuhusu CHAN tumekaa tunamwangalia tutunacheka mwaiofhawaiiWatu washaachana na maviwanja ya hv kaka, sijakashifu ila huo ndiyo ukweli, hz design za kizamani kwa sasa.
sio kosa lao mzee, thats the only thing they know si unajua hata kupanda ndege hawajawahiAngalia viwanja vya marekani utaelewa kwamba Arusha ni the best than this, hv viwanja vimeshapitwa na wakati bro, siku hz viwanja vinatengenezwa unaweza kusema ni bank.
sio tu kusafiri i have also lived, alafu Tanzania ni middle income huezi linganisha na marekani, in comparison apart from DRC nchi gan ingine ina export nyingi kushinda tanzania in the region?Hapa Nipo kijiji Fulani maeneo ya Chunya, hali nayoiona huku, and then this is 2026,
And then anatokea mtu anasema nchi ina flourish, you sound like a clown.
Nchi nzima ya watu milioni 70 mna export $26b halafu you think that’s something really, and what exactly are you exporting to the world, korosho? 😂
Kuna wakati waziri mmoja kilaza akasema nchi za Magharibi zinaionea wivu Tanzania , with overall export of $26b, yaani nchi kama Marekani yenye mji mmoja tu wa Jersey unashinda miji yote ya Africa ionee wivu sisi ?
By the way, mkuu umewahi hata kusafiri nchi za watu wenye akili ? Unaona are you anywhere near nchi yenye watu wenye akili ?
And yes, our leaders are a bunch of incompetent clowns.
mbna kama unataka kulia mwana etu ama ulidhan kila mtu anatumia f5 kama nyieHio video ya kwanza hata haionekani what am i seeing here?
Second video - yani there are 3 that are just serviced for show, and the last time it flew ni enzi za pombe magufuli?
Dodoma stadium progress 👇🏾
View: https://vt.tiktok.com/ZSC7G583e/.
huu uwanja majani yake yakua green before even that cowshed ya ngongMbona umeanza kunyanyuka faster hivi!
Meanwhile kuna watu wanajenga viwanja ambavyo havikidhi hata vigezo vya TFF achilia mbali CECAFA, CAF na FIFA. 😂😂😂
jamaa anavuka mipaka sasa 😂 😂Eti vigezo vya TFF 😂😂😂dah. bro umeniacha hoi sana.
in naislum this is a stadium 😂Eti vigezo vya TFF 😂😂😂dah. bro umeniacha hoi sana.
ndo huyu chokoraa wa naislum“I don’t think speed or range is necessary for rusty grounded junk.”
View attachment 3624158
So Arusha Stadium ni bank?😂😂🤣Angalia viwanja vya marekani utaelewa kwamba Arusha ni the best than this, hv viwanja vimeshapitwa na wakati bro, siku hz viwanja vinatengenezwa unaweza kusema ni bank.
Dodoma stadium progress 👇🏾
View: https://vt.tiktok.com/ZSC7G583e/.
Kuna mbuzi atakuja kukuuliza mbona sio ghorofa 30? Yaani mijitu imetoka bush inaendeshwa na maghorofa marefu wanaona ndio maendeleo.This is Njedengwa DODOMA.. miradi hii inakuja Njedengwa na Medeli..
NjedengwaView attachment 3624166Medeli II View attachment 3624167..
na huo uwanja una nyasi za bei ya punguzo 😂Dodoma,Arusha,Fumba. Nchi masikini inajenga viwanja vitatu wakati Kuna nchi tajiri inajenga uwanja mmoja tu ila wananchi wake wanashangilia kama mazuzu.