Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

And this year since Kenya has 0 approved stadium for international games , we anticipate any home games by that poor national team and their small financial distressed clubs to take place in Uganda and Rwanda, last year Kenya national team home games were played in Malawi.
 
How does that relate to Kasarani Stadium being better than Makwapa Stadium?
Which stadium in east africa can go head to head with mkapa? Alafu kasarani sio CAT 4 infact haya nyayo ilihost CHAN but when it came to AFCON its only a training ground
 
And this year since Kenya has 0 approved stadium for international games , we anticipate any home games by that poor national team and their small financial distressed clubs to take place in Uganda and Rwanda, last year Kenya national team home games were played in Malawi.
All matches za harambee loosers walicheza nambolee
 
Alternatively we Have approved Aman Stadium in Zanzibar, Azam Stadium in Dar , and soon we are launching Uhuru Stadium in Dar ,
Kenya has 0.
Btw AMAN stadium has once hosted a CAF final between simba and berkane kasarani has never hosted anything usefull
 
Karai has been banned for the longest
Ile Karai haiwezi pata approval sababu ya poor amenities, pamoja na kuwa na pitch mbovu sana isiyotengenezeka, kasirani umejengwa kizamani, kwa hiyo ni kipengele kupata approval ya kwa AFCON. Caf hawaangalii pitch pekee,
Kuna possibility kubwa sana Michezo mingi itachezwa Tanzania na Uganda , na kenya akabaki msindikizaji sababu ana uwanja mmoja,
Ule uwanja wa Atalanta wangejenga viwanja viwili mid-size Pengine mmoja nairobi na mwingine Mombasa,

Shida tangu lini watu waliotawaliwa na wakikuyu na kalenjini pekee tangu uhuru wakawa na akili .
 
Ile Karai haiwezi pata approval sababu ya poor amenities, pamoja na kuwa na pitch mbovu sana isiyotengenezeka, kasirani umejengwa kizamani, kwa hiyo ni kipengele kupata approval ya kwa AFCON. Caf hawaangalii pitch pekee,
Kuna possibility kubwa sana Michezo mingi itachezwa Tanzania na Uganda , na kenya akabaki msindikizaji sababu ana uwanja mmoja,
Ule uwanja wa Atalanta wangejenga viwanja viwili mid-size Pengine mmoja nairobi na mwingine Mombasa,

Shida tangu lini watu waliotawaliwa na wakikuyu na kalenjini pekee tangu uhuru wakes na akili .
Ule uwanja umejengwa because of AFCON na hauna uhusiano wowote na football in kenya. Kwanza corruption iliopita pale AFRIKA nzima imeshika vichwa

Btw its unlikely wakapata CAT 4 straight because ile grass ni ya nyeri and also probably watatumia zile ISUZU kuwapa wachezaji unlike tanzania



View: https://vt.tiktok.com/ZSCTDqKYW/
 
Btw AMAN stadium has once hosted a CAF final between simba and berkane kasarani has never hosted anything usefull
Michezo ya Chan pia ilifanyika pale , na baadae michezo ya Caf champions league na Confederation Cup mwaka Huu imechezwa pale Zenji.
 
Michezo ya Chan pia ilifanyika pale , na baadae michezo ya Caf champions league na Confederation Cup mwaka Huu imechezwa pale Zenji.
CHAN ilikua bonaza na ilishafutwa mda mrefu, that bonaza ilitumika just to test if all nations can prepare AFCON sema sasa si unajua tena wakenya hawjawahi kuona mashindano makubwa wakavunja mpaka mageti
 
CHAN ilikua bonaza na ilishafutwa mda mrefu, that bonaza ilitumika just to test if all nations can prepare AFCON sema sasa si unajua tena wakenya hawjawahi kuona mashindano makubwa wakavunja mpaka mageti
Walikuwa wanvunja mageti wanjaa uwanjani, halafu wanajisifu wamejaza viwanja,
Sema Sehemu kubwa sana ya vijana wa kenya ni idlers, hawana kazi za kufanya na hawana kwa kwenda, na hawana vipato,
Nakuwa na hofu sana na michuano ya Afcon kwenye hiyo nchi ukizingatia ni mwaka wao wa uchaguzi
 
Back
Top Bottom