nyangau mkenya
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,574
- 2,865
Rironi- mau summit expressway
Rironi- mau summit expressway
Dodoma wangejenga uwanja kama ule wa Fumba, usiwe na running track, Arusha inatosha kuwa na track kule ndipo kuna wakimbiza upepo.
cha muhimu upate certificate ya CAT 4Dodoma una running track, inaonesha serikali haiitaki kujenga pure soccer stadium . Imeiachia kazi club za mpira
New Mombasa malindi highwayBongo ni lidubwana kuubwa. Viwanja vitatu vya kisasa tunavipiga simultanously na wala hatuwazi.Dodoma,Arusha,Fumba. Nchi masikini inajenga viwanja vitatu wakati Kuna nchi tajiri inajenga uwanja mmoja tu ila wananchi wake wanashangilia kama mazuzu.
Mimi naona ni sawa viwanja vya Gov kuwa multipurpose. Ili hata AFCON ikiisha viweze kutumika. Pia riadha nao wapate standard facilities. Watumie hata michezo ya UMISETA.Dodoma una running track, inaonesha serikali haiitaki kujenga pure soccer stadium . Imeiachia kazi club za mpira
Lami za Posta zina hali mbaya sana. Inabidi warudie zote. Napita Samora avenue kila siku inaniuma sana jinsi walivyoitelekeza.Saivi naona wameanza kuzirudia lami barabara za posta. Look at this one. 👇🏾View attachment 3624146View attachment 3624147View attachment 3624148
Estim anajenga hadi anamaliza bila kuomba hela. Lakini atapewa mchina kwasababu wanaweza kuongea nae. I guess you know what I mean.Apewe Estim tu!! Jamaa anapiga kazi vizuri sana.
Seala hapa kubwa ni aina ya matakwa huyu Dangote kayaweka mezani kama criteria za kuinvest.that USD 11 bln port ingekuwa imejengwa Ukunduni isingekuwa na pa kuongea!
Ukitoa roof, huu uwanja design yake kama Arusha stadiumEti vigezo vya TFF 😂😂😂dah. bro umeniacha hoi sana.
Kikwete katypotezea sana muda na genge lake ndani ya ccm.Hapa Nipo kijiji Fulani maeneo ya Chunya, hali nayoiona huku, and then this is 2026,
And then anatokea mtu anasema nchi ina flourish, you sound like a clown.
Nchi nzima ya watu milioni 70 mna export $26b halafu you think that’s something really, and what exactly are you exporting to the world, korosho? 😂
Kuna wakati waziri mmoja kilaza akasema nchi za Magharibi zinaionea wivu Tanzania , with overall export of $26b, yaani nchi kama Marekani yenye mji mmoja tu wa Jersey unashinda miji yote ya Africa ionee wivu sisi ?
By the way, mkuu umewahi hata kusafiri nchi za watu wenye akili ? Unaona are you anywhere near nchi yenye watu wenye akili ?
And yes, our leaders are a bunch of incompetent clowns.
Tangu lini vagina ikawa na shape?🤣🤣🤣🤣Tushaaambia bila filta hamtoboi, uwanja hauna shape
That's a fully enclosed, fully air-conditioned stadium worth 10 times more than the Arusha debe.Ukitoa roof, huu uwanja design yake kama Arusha stadium
View attachment 3624336
Kubali wewe ni mjinga nyamwezi. Tukio nchini Sri Lanka inahusinakaje na thread ya Nairobi vs Dar? Get a life bongolala! Kubali tu haukusoma linkDid you read the caption ama unaropoka kama umemiss periods?