Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Another government owned..
No serious investors coming down south? I wonder why!
Kunyans are very stupid peoole i have ever come across with.

Tell me, a single serious investor that has ever come to Kenya??
 
Bagamoyo port inahusiana na nin hapa wakati Ruto alikuwapo bungeni na Bi-mdashi alisema "nimembana bana huko" na Ruto akajibu. Si Ruto alipropose Tanzania; what went wrong?

Your mama is incompetent hii project ikienda Kenya.

Let's be real: Kikwete alifarakana na Kagame, na hata SGR ya mafuta pia ilimshinda kuanza kujenga waka-abandan kabisa SGR due to incompetence na akatiokoa madarakani wakati "coalition of the willing" imeshika hatam na pipeline toka Uganda tayari ikielekezwa Kenya na Magufuli akaingia Madarakani na kupindua meza za SGR na pipeline.

Nini kinamshinda?
Incompetence mzee, mzee wa maoga na maeneleo wapi na wapi , huyu bibi ndio hamna kitu kabisa, 9 good years of wasting time, Tunapiga hatua moja mbele , hatua kumi nyuma. Huyu wa sasa hata hajui anafanya nini mradi tu panakucha.
 
Bagamoyo port inahusiana na nin hapa wakati Ruto alikuwapo bungeni na Bi-mdashi alisema "nimembana bana huko" na Ruto akajibu. Si Ruto alipropose Tanzania; what went wrong?

Your mama is incompetent hii project ikienda Kenya.

Let's be real: Kikwete alifarakana na Kagame, na hata SGR ya mafuta pia ilimshinda kuanza kujenga waka-abandan kabisa SGR due to incompetence na akatiokoa madarakani wakati "coalition of the willing" imeshika hatam na pipeline toka Uganda tayari ikielekezwa Kenya na Magufuli akaingia Madarakani na kupindua meza za SGR na pipeline.

Nini kinamshinda?
that USD 11 bln port ingekuwa imejengwa Ukunduni isingekuwa na pa kuongea!
 
Incompetence mzee, mzee wa maoga na maeneleo wapi na wapi , huyu bibi ndio hamna kitu kabisa, 9 good years of wasting time, Tunapiga hatua moja mbele , hatua kumi nyuma. Huyu wa sasa hata hajui anafanya nini mradi tu panakucha.
katika kipindi tanzania inaflourish kiuchumi basi ndo mda huu, as we speak tanzania earns the most money in the region from exports, crazy money inaenda $26B in my last checks, The port is over full as we speak na miradi yote iliobaki inamaliziwa, Sasa inategemea na wewe level yako pia ya uchumi iko vp, because of you were expecting labda wawekezaji wajae bongo kama kenya, hicho kitu hakiwezekani, na hakuna atakaekuja kukikubali,

This is only applicable to kenya kama unataka investors wajae alafu nyie wengine mkakae kwenye slums ila kwa bongo hicho kitu hakipo na hakitakuja kuwepo, Utawekeza tu sehem ambapo kwel serikali itakua bado haijafika uwezo huo na pia hakuna private investor wa bongo anaweza kuihandle hio issue, other than that, dont expect non ending list of investors because they arent helpfull as you think, we call them investors but they are just business men and all they care at the end is maximum profits
 
🤣🤣 Haya hongeraa... In next Six months refinery itakuwa tayariiii...

What will happen to your G-to-G contract? Umejifunza a breach of contract itakuwa na consequences gani? Na hiyo refinery itakuwaje? PPP? World bank wanasemaje kuhusu kunyaland kuingia kwenye PPP projects?

Acheni njaro za mchana.
Inatupangia vile tunaendesha nchi yetu?
 
Back
Top Bottom