evart
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 2,838
- 2,774
Same to Kenyans when speak and write in Swahiliyaani mbongo bora tu azungumze lugha ya Kiswahili maana utajipata ICU kwa kicheko😀😀😀
Same to Kenyans when speak and write in Swahiliyaani mbongo bora tu azungumze lugha ya Kiswahili maana utajipata ICU kwa kicheko😀😀😀
Hahaha eti Kenya unga 40 hahaha labda pumba za kukuKama nilivyo sema bei ya bidhaa Tanzania na Kenya hazijaachana.....mchele wa kupima Kenya utapata na kuanzia 80ksh per kilo same na Tanzania, sukari umesema kuanzia 115-120 na Kenya it's the same inachezea 110-120 kwenye maduka na markets, unga pia tuusan amesema inachezea 40-45 per kg ambayo haijaachana na Kenya 45-50 per kg kwenye visiagi na maduka.....it's logical vitu kwenye supermarkets zitakua ghali kidogo kutokana na value addition lakini ukilinganisha bidhaa kwenye markets Kenya na Tanzania zinachezea bei moja
Bora angechora steki mana naona umepata storyyaani mbongo bora tu azungumze lugha ya Kiswahili maana utajipata ICU kwa kicheko😀😀😀
Supermarket bei sio kubwa pia,there is slightly diffKuna tofauti wa unga wa pakiti na unga Wa kupima......unga wa kupima huku pia utapata na 40/45 per kilo
Wakati sukari Tanzania ni 115 Kenya sukari ni 198 acha uongoKama nilivyo sema bei ya bidhaa Tanzania na Kenya hazijaachana.....mchele wa kupima Kenya utapata na kuanzia 80ksh per kilo same na Tanzania, sukari umesema kuanzia 115-120 na Kenya it's the same inachezea 110-120 kwenye maduka na markets, unga pia tuusan amesema inachezea 40-45 per kg ambayo haijaachana na Kenya 45-50 per kg kwenye visiagi na maduka.....it's logical vitu kwenye supermarkets zitakua ghali kidogo kutokana na value addition lakini ukilinganisha bidhaa kwenye markets Kenya na Tanzania zinachezea bei moja
pesa za meter gauge hazihusiani na SGR we usifkiri world bank watakupa pesa kwa kitu kingine ujenge kitu kingine we nafkiri sheria za mikopo world bank huzijui vyema😀😀😀😀 kazi ya kukarabati meter gauge imeanza na wameanza kipande cha tanga to arusha almost 450km
wewe usiumize kichwa kuskia tanzania inajenga one of the modern electric train in africa kwa pesa zake tena kwa phase mbili mfululizo 😛😛😛😛 722km from dar to dodoma alaf mturuki kakubali kutoa soft loan kwa ajili ya 400km for phase 3 and 4
iyo si ni 100kwa 2kg...Unga Tanzania 50 ya Kenya kwa kilo rice super Tanzania ni 100 ya Kenya this is real thing siongei kishabiki uliza yeyote alie Tanzania.
alaf mkimaliza hapo muende kwenye cement na aggregates ndio utajionea balaa😀😀😀😀😀Hahaha eti Kenya unga 40 hahaha labda pumba za kuku
Unga wa pakiti kilo ulkua unatoka 47ksh kabla ya kupanda mwezi huu hadi 55-60ksh unadhani kwenye markets unga wa kupima utachezea ngapi?Hahaha eti Kenya unga 40 hahaha labda pumba za kuku
hii ni mumias sugar,,,ndio sugar expensive kenya...Wakati sukari Tanzania ni 115 Kenya sukari ni 198 acha uongo![]()
I was going to tell him the same thing. There's a very big difference between unga wa kupima na unga wa packet. Hata hapa Kenya kuna unga wa kupima na inapitikan kwa shilingi 45 kwa kilo kama sijakosea. Tofauti yetu na wao ni kwamba wakenya hawana desturi ya kununua unga wa kupima sana kwa sababu they prefer ile unga ya packey so asishangae akiona unga inauzwa kwa supermarket. Here in Kenya, unga wa kupima is mostly associated with what we commonly call "kagogo economy". Yani mtu ambaye hana hela ya kutosha kununua vitu in bulk so they resort to buying things in small quantities. Unga wa kupima, mafuta ya kupima na kadhalika.Kuna tofauti wa unga wa pakiti na unga Wa kupima......unga wa kupima huku pia utapata na 40/45 per kilo
SGR Picha hamna?
Na vipi tena mnakuwa tu pale pale LDC? kwani hiyo bei haiwasaidii kumaliza umasikini?Tanzania vyakula basic kama unga mchele maharage ni vyakula ambavyo kila nyumba inautamadun wa kuhifadh ndan kwa mwaka mzma ...mfano unakuta mtu nyumban ana gunia tano au sita na za mchele ...unga ukiisha ndan anapima debe mbili au moja anasaga maisha yanaendelea vitu tunavyonunua huku ni vdogo vdogo tuu..
Age old pictures as usual and reasons as to why the SGR route to Burundi and Rwanda not viable instead focus on the Mtwara route.pitia hapa utapata kila kitu😀😀😀😀😀
SGR Railway Dar es salaam-Isaka-Kigali|Keza-Gitega-Musongati Railway Project| U/C - Page 16 - SkyscraperCity
Their project stalled juu ya kukosa hela.picha za Sgr nilizoziona ni hizi hapa...uzi uko ukurasa wa 16😀😀😀
![]()
![]()
fananisha na hii ya SGR Kenya iko ukurasa wa 360 wa Standard Gauge Railway | Mombasa-Nairobi-Kampala-Kigali | U/C - SkyscraperCity
Kenya receives rice donation from China as SGR starts moving maize – Peril Of AfricaHahaha...yani sasa mnakataa watanzania wenzenu. kwani sirari iko wapi? that border town inaitwa Isibania upande wa Kenya na sirari upande wa Tanzania so kama hao omba omba wanatoka sirari basi hao sio wakenya. Yani sijaamini unakana watanzania wenzako. Maajabu haya!
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 Eti stalled. noma sana.Their project stalled juu ya kukosa hela.
Umasikini ni nini kwa tafsiri yako????Na vipi tena mnakuwa tu pale pale LDC? kwani hiyo bei haiwasaidii kumaliza umasikini?