Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
kabisa na hicho kinawauma sanasasa naanza na ile ahadi niliokuahidi jana 😀😀😀😀😀😀
hakuna mji wowote east and central unaeza kaa sahani moja na zanzibar kwa beach hotels
royal hotel
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kabisa na hicho kinawauma sanasasa naanza na ile ahadi niliokuahidi jana 😀😀😀😀😀😀
hakuna mji wowote east and central unaeza kaa sahani moja na zanzibar kwa beach hotels
royal hotel
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nimeishi Kenya napajua vizuri hata nina ndugu zangu Nairobi make up in your mind bei yoyote ya chakula chochote utakayoikuta Kenya uwe na uhakika 100% Tanzania the same thing is a half price, this is realityUnga ni 115 apart from from kampuni zingine zile unga zao huwa ghali kiasi.........alafu mjue vile mko dumb, unga Tanzania ni shilingi ngapi?
So Nairobi is full of Six-Lane Highways....sio?a single lane ndio unatuonyesha msee....oh lord
We jamaa usinione mjinga najua nacho kisema....juzi nimenunua unga wa soko 115 tusky supermarket Nakuru ningekutumia risiti kama bado ningekua nayorudi page mbili nyuma nilimuekea mwenzako unga 139ksh na ushahidi wakutosha😀😀
Nimeishi Kenya napajua vizuri hata nina ndugu zangu Nairobi make up in your mind bei yoyote ya chakula chochote utakayoikuta Kenya uwe na uhakika 100% Tanzania the same thing is a half price, this is reality
Tanzania vyakula is not a matter watanzania wanaeza kulalamika bei ghali lakini hawajawahi kufika Kenya wakaonja joto ya jiwe.
Meanwhile
We jamaa usinione mjinga najua nacho kisema....juzi nimenunua unga wa soko 115 tusky supermarket Nakuru ningekutumia risiti kama bado ningekua nayo
Hata ungebeba the whole farm hiyo bei ni ndoto huko Kenyamimi nilibeba unga halisi kutoka ushago......story ya kununua unga sijui.
Hio yote umeandika hapo ni useless porojo bila evidence.... Tuma picha ya hizo bidha kwa supermarkets za Tanzania
For so what nikudanganye? Kwanza watanzania wengi hawana utamaduni wa kununua unga supermarket, unga wananunua kwenye local street stores au directly to the mills supermarket ni 0.0090 ndio huuza unga.Hio yote umeandika hapo ni useless porojo bila evidence.... Tuma picha ya hizo bidha kwa supermarkets za Tanzania
na magufuli hapo hajamaliza awamu ya kwanza badonumbers don't lie...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Tuma ata bei ya bidhaa zingine kwa supermarket kama mchele nataka tumalize hii argumentFor so what nikudanganye? Kwanza watanzania wengi hawana utamaduni wa kununua unga supermarket, unga wananunua kwenye local street stores au directly to the mills supermarket ni 0.0090 ndio huuza unga.
Okay tuanze na mchele.Tuma ata bei ya bidhaa zingine kwa supermarket kama mchele nataka tumalize hii argument
China donates 30 tons of food to drought-hit Kenya - China PlusNi swali la kipuzi kwako na kwa wadanganyika wenzio kwa sababu you don't want to live with the bitter truth that you live in a least developed country and that it will take you ages to get out of that murky water that is ldc. Kuhusu chakula na misaada, when did kenya get relief food from Tanzania or any country for that matter? Do you know what relief food is? Nipe link inayosema kwamba kenya ilipokea relief food from Tanzania. The fact that we occasionally buy maize from Tanzania doesn't mean that we don't produce our own.Tanzania also buys milk from Kenya, does it mean that it doesn't produce its own milk? You need to go back to school and learn something called "international trade". Na ni maisha gani bura mnaisha wakati tuko na bigger middle class kuwaliko? Numbers don't lie kijana wa tanganyika