Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sasa naanza na ile ahadi niliokuahidi jana 😀😀😀😀😀😀
hakuna mji wowote east and central unaeza kaa sahani moja na zanzibar kwa beach hotels
royal hotel
royal-zanzibar-second.jpg
View-from-Naka-Phuket2_0-866x487.jpg
Royal-Zanzibar-Beach-Resort2.jpg
g425063.jpg
g425072.jpg
royal-zanzibar-first.jpg
8878359052318.jpg
19131064.jpg
g425063.jpg
kabisa na hicho kinawauma sana
 
Unga ni 115 apart from from kampuni zingine zile unga zao huwa ghali kiasi.........alafu mjue vile mko dumb, unga Tanzania ni shilingi ngapi?
Nimeishi Kenya napajua vizuri hata nina ndugu zangu Nairobi make up in your mind bei yoyote ya chakula chochote utakayoikuta Kenya uwe na uhakika 100% Tanzania the same thing is a half price, this is reality

Tanzania vyakula is not a matter watanzania wanaeza kulalamika bei ghali lakini hawajawahi kufika Kenya wakaonja joto ya jiwe.

Meanwhile
 
rudi page mbili nyuma nilimuekea mwenzako unga 139ksh na ushahidi wakutosha😀😀
We jamaa usinione mjinga najua nacho kisema....juzi nimenunua unga wa soko 115 tusky supermarket Nakuru ningekutumia risiti kama bado ningekua nayo
 
Nimeishi Kenya napajua vizuri hata nina ndugu zangu Nairobi make up in your mind bei yoyote ya chakula chochote utakayoikuta Kenya uwe na uhakika 100% Tanzania the same thing is a half price, this is reality

Tanzania vyakula is not a matter watanzania wanaeza kulalamika bei ghali lakini hawajawahi kufika Kenya wakaonja joto ya jiwe.

Meanwhile

Hio yote umeandika hapo ni useless porojo bila evidence.... Tuma picha ya hizo bidha kwa supermarkets za Tanzania
 
Hio yote umeandika hapo ni useless porojo bila evidence.... Tuma picha ya hizo bidha kwa supermarkets za Tanzania
For so what nikudanganye? Kwanza watanzania wengi hawana utamaduni wa kununua unga supermarket, unga wananunua kwenye local street stores au directly to the mills supermarket ni 0.0090 ndio huuza unga.
 
For so what nikudanganye? Kwanza watanzania wengi hawana utamaduni wa kununua unga supermarket, unga wananunua kwenye local street stores au directly to the mills supermarket ni 0.0090 ndio huuza unga.
Tuma ata bei ya bidhaa zingine kwa supermarket kama mchele nataka tumalize hii argument
 
Show me any part of Dar es Salaam that can outcompete this part of Mombasa road Kenya
 
Ni swali la kipuzi kwako na kwa wadanganyika wenzio kwa sababu you don't want to live with the bitter truth that you live in a least developed country and that it will take you ages to get out of that murky water that is ldc. Kuhusu chakula na misaada, when did kenya get relief food from Tanzania or any country for that matter? Do you know what relief food is? Nipe link inayosema kwamba kenya ilipokea relief food from Tanzania. The fact that we occasionally buy maize from Tanzania doesn't mean that we don't produce our own.Tanzania also buys milk from Kenya, does it mean that it doesn't produce its own milk? You need to go back to school and learn something called "international trade". Na ni maisha gani bura mnaisha wakati tuko na bigger middle class kuwaliko? Numbers don't lie kijana wa tanganyika
China donates 30 tons of food to drought-hit Kenya - China Plus
Acha kuweweseka, nimesema Kenya inapokea food donation, sikutaja nchi hiyo misaada inakotoka, kiukweli ni Kenya, South Sudan na Somalia pekee zinazopokea misaada ya chakula
 
Back
Top Bottom