Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kumekucha😀😀😀😀😀

508BB54C-D9CC-4B0F-A702-CE569A486C7C.jpeg
 
kwetu meter gauge ina kazi yake na SGR inakazi yake na ni vitu viwili tofaut sana, so WB wametoa pesa kwa ajili ua kurekebisha meter gauge ili tutumia kwa kazi zetu kama local transportation😀😀😀😀

yani we kinachokuumiza ni wapi tanzania imetoa pesa ya kujenga 722km kwa kutumia pesa yake
Pesa za metre gauge zinamwagwa kwa SGR na hazitoshi sababu ikiwa WB walikataa kuwapea loan ya SGR kwa kuwa si commercially viable instead mrekebishe hiyo mzee which you haven't done so far.
 
Pesa za metre gauge zinamwagwa kwa SGR na hazitoshi sababu ikiwa WB walikataa kuwapea loan ya SGR kwa kuwa si commercially viable instead mrekebishe hiyo mzee which you haven't done so far.
pesa za meter gauge hazihusiani na SGR we usifkiri world bank watakupa pesa kwa kitu kingine ujenge kitu kingine we nafkiri sheria za mikopo world bank huzijui vyema😀😀😀😀 kazi ya kukarabati meter gauge imeanza na wameanza kipande cha tanga to arusha almost 450km





wewe usiumize kichwa kuskia tanzania inajenga one of the modern electric train in africa kwa pesa zake tena kwa phase mbili mfululizo 😛😛😛😛 722km from dar to dodoma alaf mturuki kakubali kutoa soft loan kwa ajili ya 400km for phase 3 and 4
 
There is no single city/town that can go head-to-head with Kenyan ones. Mwanza can't battle Mombasa, Arusha can't battle Kisumu. In fact our sixth largest city Thika is better than Mwanza.
Nenda hospital..
 
Hapo Dar hata ksh 50,000 napata kiwanja. Huku Kenya labda kijijini.
So what is the point?! If for kes 50k unapata kiwanja?.

Btw mjini IPI unazungumzia.. Mbezi..Tabata Kijichi, Goba nk.. Ziko +17k from city center na hakuna penye value ya tsh -70k /sq.m (about 3500kes) your for that 50k of yours ..hata msata 100k from dar hupati surveyed kiwanja.
 
Back
Top Bottom