ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
where is ur maize?????😀😀😀😀😀Ni swali la kipuzi kwako na kwa wadanganyika wenzio kwa sababu you don't want to live with the bitter truth that you live in a least developed country and that it will take you ages to get out of that murky water that is ldc. Kuhusu chakula na misaada, when did kenya get relief food from Tanzania or any country for that matter? Do you know what relief food is? Nipe link inayosema kwamba kenya ilipokea relief food from Tanzania. The fact that we occasionally buy maize from Tanzania doesn't mean that we don't produce our own.Tanzania also buys milk from Kenya, does it mean that it doesn't produce its own milk? You need to go back to school and learn something called "international trade". Na ni maisha gani bura mnaisha wakati tuko na bigger middle class kuwaliko? Numbers don't lie kijana wa tanganyika
wapi unga kenya 😛😛😛 nchi inayumbishwa na njaa na inflation kila leo, from 90 to 139 alaf unasema muna unga