Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakati south Korea ikiwa mwanza tayari kwa kuanza ujenzi wa meli kubwa 2 za kisasa za abiria na mizigo huko lake nyasa company ya kizalendo inamalizia meli ya tatu ya abiria na mizigo
 
Nyanya zinapandwa all over kenya, especially in greenhouses. I even have a greenhouse of tomatoes. The same applies with vitunguu. Viazi inatoka Molo, Nakuru na kwingineko tena kwa wingi. Kuna ng'ombe wengi sana northern Kenya na masaaini. So nyama tunayokula ni yetu. Kitale is known all over kenya for growing maize plus many other counties especially in western Kenya, so unga tunayotumia ni yetu. We only import to fill the deficit in demand. Mchele inagoka mingi sana in several parts of the country, Mwea tebere irrigation scheme in Kirinyaga county, kano in Kisumu County among other places. Hebu sasa niambie mnatulidha na nini?Hii mambo ya gesi sijui umetoa wapi?
Acha uongo wewe.. Kila nchi hata zile maskini kabisa zenye uhaba Wa chakula zinazalisha chakula tofauti inakuja kwenye production rate, ni kiasi gani wanazalisha icho chakula.. Mnaweza mkawa mnazalisha lakini ni asilimia 25-30 ya mahitaji ya Taifa zima. Sisi karibu asilimia 95 ya vyakula muhimu vinavyohitajika kwa taifa vinazalishwa nyumbani, mpaka vingine tunagawa misaada.. Vyakula vyote muhimu asilimia kubwa mnaagiza kutoka Tz.. Mahindi Michele na vingine vingi.. Angalia report yenu ya mwaka utaona tena mwaka 2017 ndio mmezidisha kiwango kikubwa sana cha kununua kutoka Tz
 
Iringa ni manispaa,yawezekana ni jiji kwa standard za kenya mayb maana hakuna aliewah waambia lile Ni jiji
Mbona mnapenda kujicontradict nyinyi wabongo? Ni mara ngapi hapa ichoboy na wenzako wametaja Iringa na Mbeya kuwa ni cities?
 
bora uje polepole nisilete picha za tanzanian airports😀😀😀
Hilo ndilo tatizo lako, vitu visivyokua na umuhimu mkubwa kwa wananchi, wewe ndiyo unashupalia, what is the percentage of Kenyans/Tanzanians use airports?, zungumzia roads, reli, houses, jobs, food, Hospitals, schools, nyie mnashikilia Malls, Flyovers, Airports na skyscrapers with little effects to mwananchi
 
Mbona mnapenda kujicontradict nyinyi wabongo? Ni mara ngapi hapa ichoboy na wenzako wametaja Iringa na Mbeya kuwa ni cities?
Wewe ndio unajichanganya...lini na wap ichoboy akasema iringa ni jiji?Mbeya ni jiji Ndio wala sio utani
 
County inasifa zipi. ..kijana kutoka homabay
Mbona unanilazimisha nikuambie tuko na mikoa wakati hazipo? Kenya has county governments. Kila county iko na governor, senator, bunge (county assembly) na hata serikali iliyo na mawaziri (County government). Kuna serikali kuu na serikali ya county ambayo inajisimamia kivyake chini ya governor. Mikoa tuliwachia ldc kama nyinyi. Secondly, sitoki Homa bay ila natoka Migori japo homa bay inapakana na Migori.
 
Mbona unanilazimisha nikuambie tuko na mikoa wakati hazipo? Kenya has county governments. Kila county iko na governor, senator, bunge (county assembly) na hata serikali iliyo na mawaziri (County government). Kuna serikali kuu na serikali ya county ambayo inajisimamia kivyake chini ya governor. Mikoa tuliwachia ldc kama nyinyi. Secondly, sitoki Homa bay ila natoka Migori japo homa bay inapakana na Migori.
Hiyo system huku tuliifanya katika miaka ya 1970s kwa jina la madaraka mikoani, tuligundua ugumu wake ikabidi tuachane nao, tunafuatilia kwa makini kama utafanikiwa huko kwenu ili tujifunze
 
yesterday when i was arguing with kenyans, i challenged them to show me any big investment owned by kenya music artist.any investment that is creating job opportunities to other kenyans.any investment that has a TIN number from kenya revenue authority.

nobody did what i requested them to instead one of them mentioned jaguar and akothe.for those who don't know akothe, she is one ugly looking prostitute who can't sing but forces to look like a real musician

anyway, the hot news that's trending among east africans on social media is about a luxury house diamond platnumz has bought for his wasafi music management company including recording studio, tv station and wasafi fm radio. both tv and radio station are underway to be opened soon.

it's confirmed that the house cost him tsh 1,000,000,000 (one billion tanzanian shilling which is equal to 46370250 kenyan shilling)

5e289a65fc8977b8a872bab608648c2d.jpg
01ebaf6d74d666053114fda05d55220b.jpg
5eb2f1a314fbde2f7f5680eb1949a4e8.jpg
4d862616ccf6dc0d346fc54ea3f64541.jpg
a924fc41bc515d75e8492a97570386ea.jpg
c8b1a2546e065d26603f1a567ea08fea.jpg
cda173ed9ddcec2be035ea58ef1f843b.jpg
 
Hiyo system huku tuliifanya katika miaka ya 1970s kwa jina la madaraka mikoani, tuligundua ugumu wake ikabidi tuachane nao, tunafuatilia kwa makini kama utafanikiwa huko kwenu ili tujifunze
Mjifunze nini wakati mlishashindwa kucheza ngoma? Kaeni kando mshuhudie vile ngoma huchezwa
 
Tanzania mikoa yote ina resources kila mkoa Tanzania una rasilimali kubwa na muhimu, Kenya mikoa yenye ahueni ya maisha hsizidi mitatu hiyo mingine yote ya Northern, Eastern and western ni shitholes pakame miundombinu hakuna hata trunk roads za kuiungajisha hakuna.



I know your extremely poor villages in mwanza region.....resources my foot.nchi yenu hata place fertile ina umaskini wa hali ya juu
 
apart from jamii forums..hakuna place mtanzania anaweza thubutu kuenda debate.....huko watu hawajui "tuta" " tuna" nonsense........
 
Back
Top Bottom