Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania mikoa yote ina resources kila mkoa Tanzania una rasilimali kubwa na muhimu, Kenya mikoa yenye ahueni ya maisha hsizidi mitatu hiyo mingine yote ya Northern, Eastern and western ni shitholes pakame miundombinu hakuna hata trunk roads za kuiungajisha hakuna.
bora uje polepole nisilete picha za tanzanian airports😀😀😀
 
Hiyo garage lazima iwe bankruptcy sijui nani aliwaingiza mkenge hahaha wananchi wamegoma kununua gari mpaka government imeamua iokoe jahazi company isifungashe virago
ujinga wako hauna kifani ndugu...VW wameuza 100 units 2017 na serikali inanunua 300 kila mwaka....that is a milestone. especially for a new model...wakenya wamezoea sana Toyota, kwa hiyo wamejaribu sana VW
 
ujinga wako hauna kifani ndugu...VW wameuza 100 units 2017 na serikali inanunua 300 kila mwaka....that is a milestone. especially for a new model...wakenya wamezoea sana Toyota, kwa hiyo wamejaribu sana VW
Hahaha eti nacho kinajiita kiwanda? Kuunganisha a baby walker for one month is that a plant or garage? Mtakaa sana
 
Hahaha eti nacho kinajiita kiwanda? Kuunganisha a baby walker for one month is that a plant or garage? Mtakaa sana
tulia...kumbuka kampuni za magari Kenya ni tele...nyie mna viwanda ngapi tuanze hapo kwanza...
 
Meli kubwa tatu lake nyasa doing business in Mozambique, Malawi and Tanzania we are ruling great lakes
 
upload_2018-1-12_21-22-12.png
upload_2018-1-12_21-22-39.png
 
Back
Top Bottom