Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Imagine mradi mkubwa kama huo Rais wala hayupo hapo, wakati nchi zingine kama ukunduni Rais anazindua nguzo za umeme. 😂😂😂
Aisee Dom inakimbia mno. Imagime all the projects in less than 10 years. Kuna miji huko ukunyani iko Tangu utawala wa Sultan Said Sayid, hazina walau a single road with six lanes. 😂😂😂 halafu tunaambiwa eti ni developed cities.
 
Huyu Watchie alihepa wakati wa maandamano ya kwao bada ya kuona Jeshi la Museveni ndani ya nchi yake . Akatukana Jeshi La Tanzania akawaita masufuria ( like we do)…. Sasa anarudi na kifua mbele like we forgot about all that …😆😆😆
Watchman muoga. 😂 😂
 
Sijawahi kuona empty port roads kama za Mombasa, yaani hakuna kabisa trucks, hivi mizigo huko inaondolewa kwa Bluetooth? Mombasa hakuna hata traffic jam 🚥🤣 Ndio maana bila kufake data Mombasa port ni kama bandari bubu yoyote Somalia
Amini mkuu hamna kampuni ya logistic ukunduni inayomiliki trucks hata 50 tu,kazi yao ni kupika data
 
Back
Top Bottom