Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mwaiofhawaii Teargass nairobae

Mfumo wa Tanzania unaenda mpaka kwenye street level.

Ngoja niwafundishe na muelewe real devolution maana nyie wakenya mlirukia tu treni.

Tanzania siasa zinaanza kwenye grassroots.
Mwenyekiti wa Mtaa
Huyu anachaguliwa katika mtaa au kijiji husika. Kila chama cha siasa kinaweka mgombea wake.
Baada ya hapo inaundwa serikali ya kijiji au mtaa. Ndani ya kijiji hicho kunakuwa na wajumbe nao wanachaguliwa kwa kupiwa kura.
Kijiji au mtaa kinakuwa na kamati mbalimbali yaani kama wizara.
Katika kijiji hicho kunakuwa na mtumishi wa serikali anayeitwa Executive (VEO kwa kijiji na MEO kwa mtaa)

Kitu hiki hakipo huko kenya.
Juu ya kijiji utakutana na Kata.
Kila kata Inakuwa na kiongozi anayeitwa Diwani. Vilevile huyu hupigiwa kura na kata yote. Kila Chama cha Siasa kinaweka mgombea wake. Hapo kwenye kata kunakuwa na kamati mbalimbali. Yaani diwani anaundwa Serikali ya Kata. Kwenye kata kunakuwa na mwakilishi wa Serikali anayeitwa WEO.

Kata zote ndani ya halmashauri moja zinaungana na kutengeneza council.

Madiwani wanachagua diwani mmoja atakayekuwa mwenyekiti wao (Kwenye Municipal and City anaitwa Mayor) Kwenye council ambazo hazijafikia level ya municipal anaitwa mwenyekiti wa council. Huyo mwenyekiti aliyechaguliwa na madiwani ni sawa na gavana kwenu kenya.

Ndani ya council kunakuwa na mkurugenzi anaitwa DED. Yeye anakuwa Katibu wa Council.

Sasa mpaka hapo mmejifunza nini wakenya kuhusu devolution ya Tanzania?

NB: Kijiji kinakuwa na own source of revenue kwa maendeleo ya kijiji.
Kinakusanya pesa kupitia ulinzi shirikishi, sungusungu nk.
Na bado kuna level moja umeiruka hapo lakini iko more admnistrative inaitwa Tarafa / Zone kama sikosei. Tarafa moja inaweza ikawa na more than one wards ila sidhani kama ziko kila mkoa.
 
Na bado kuna level moja umeiruka hapo lakini iko more admnistrative inaitwa Tarafa / Zone kama sikosei. Tarafa moja inaweza ikawa na more than one wards ila sidhani kama ziko kila mkoa.
Ya hiyo ni more administrative haina political representative
 
Ke

1000018998.jpg
1000019001.jpg
1000019002.jpg
1000019004.png
1000018993.jpg
1000019005.jpg
1000018495.jpg
1000019006.jpg

1000018826.jpg
 
Mwambie kwanjia rahisi aelewe mkuu. Mfano bus stations, modern markets and council roads anafikiri zinajengwa na nani? na mbona wao hawana modern bus station?
Kaka ukizinguka nchi ya Tanzania, kuna vijiji na mitaa zimejenga stands na masoko from OSR.
 
Msije mkawa mnahesabu na makampuni ya mabeberu 😁, utasikia Nestle and the likes wako humo ndani 🤣🤣🤣 wakati investment yao KE haifiki hata hito value.
Kaka tusiende mbali tu haya hapa 10


Na.KampuniSektaWamiliki Wakuu (Main Shareholders)
1Safaricom PLCMawasilianoVodafone & Vodacom (39.9%), Serikali ya Kenya (35%), na Umma kupitia NSE (25%).
2Equity GroupBenkiArise B.V. (12%+), James Mwangi (3.4%), IFC, na wawekezaji wa taasisi.
3KCB GroupBenkiSerikali ya Kenya (Treasury - 19.7%), NSSF Kenya (9.7%), na umma kupitia NSE.
4East African BreweriesVinywajiAsahi Group Holdings (65%)Baada ya kununua hisa kutoka kwa Diageo mwaka 2026.
5Kenya Pipeline (KPC)NishatiSerikali ya Kenya (35%) na Umma (65%) kupitia IPO iliyofanyika Machi 2026.
6Co-operative BankBenkiCo-op Holdings Co-operative Society (64.5%) — Inayomilikiwa na vyama vya ushirika Kenya.
7Absa Bank KenyaBenkiAbsa Group Limited (68.5%) kutoka Afrika Kusini.
8NCBA GroupBenkiNedbank (66%)Kufuatia ununuzi wa hisa (acquisition) ulioanza Mei 2026.
9Standard CharteredBenkiStandard Chartered PLC (74.3%) ya Uingereza.
10Stanbic HoldingsBenkiStandard Bank Group (74.9%) kutoka Afrika Kusini kupitia Stanbic Africa Holdings.
 
Kaka tusiende mbali tu haya hapa 10


Na.KampuniSektaWamiliki Wakuu (Main Shareholders)
1Safaricom PLCMawasilianoVodafone & Vodacom (39.9%), Serikali ya Kenya (35%), na Umma kupitia NSE (25%).
2Equity GroupBenkiArise B.V. (12%+), James Mwangi (3.4%), IFC, na wawekezaji wa taasisi.
3KCB GroupBenkiSerikali ya Kenya (Treasury - 19.7%), NSSF Kenya (9.7%), na umma kupitia NSE.
4East African BreweriesVinywajiAsahi Group Holdings (65%)Baada ya kununua hisa kutoka kwa Diageo mwaka 2026.
5Kenya Pipeline (KPC)NishatiSerikali ya Kenya (35%) na Umma (65%) kupitia IPO iliyofanyika Machi 2026.
6Co-operative BankBenkiCo-op Holdings Co-operative Society (64.5%) — Inayomilikiwa na vyama vya ushirika Kenya.
7Absa Bank KenyaBenkiAbsa Group Limited (68.5%) kutoka Afrika Kusini.
8NCBA GroupBenkiNedbank (66%)Kufuatia ununuzi wa hisa (acquisition) ulioanza Mei 2026.
9Standard CharteredBenkiStandard Chartered PLC (74.3%) ya Uingereza.
10Stanbic HoldingsBenkiStandard Bank Group (74.9%) kutoka Afrika Kusini kupitia Stanbic Africa Holdings.
Keep putting your foot in the mouth … ile ujinga mko naye ni mingi …. Let’s take your example, Safaicom .. 35% GOK and 25% Kenyan shareholders… meaning 60% of the company is Kenyan owned….. wivu na hasira sasa inakusaidia vipi…😆😆
 
Keep putting your foot in the mouth … ile ujinga mko naye ni mingi …. Let’s take your example, Safaicom .. 35% GOK and 25% Kenyan shareholders… meaning 60% of the company is Kenyan owned….. wivu na hasira sasa inakusaidia vipi…😆😆
Leta hapa proof.
Hizi hapa baadhi ya Tanzania:


Jina la KampuniThamani (USD)Mmiliki Mkuu & Asilimia ya Hisa (%)
TANESCO$4.5 Bilioni+Serikali ya Tanzania (100%)
PSSSF (Mfuko wa Hifadhi)$3.5 Bilioni+Serikali (100% - Kwa niaba ya Watumishi wa Umma)
NSSF$3.2 Bilioni+Serikali (100% - Kwa niaba ya Sekta Binafsi)
MeTL Group$2.5 - $3.0 BilioniFamilia ya Dewji (100%)
CRDB Bank PLC$2.7 BilioniDANIDA (21%), PSSSF (13.3%), Serikali (5%), Umma (60.7%)
NMB Bank PLC$2.6 BilioniArise B.V. (34.9%), Serikali (31.8%), NSSF/PSSSF & Umma (33.3%)
TPA (Bandari)$2.0 Bilioni+Serikali ya Tanzania (100%)
Bakhresa Group$1.5 - $2.0 BilioniFamilia ya Bakhresa (100%)
TTCL Corporation$700 Milioni+Serikali ya Tanzania (100%)
Twiga Minerals$1.5 Bilioni+Barrick Gold (84%), Serikali ya Tanzania (16%)
 
UN has ONLY four offices in the world:
New York
Geneva
Vienna
Nairobi

The Nairobi office is the largest of the four in acreage and set for further expansion that will see UN agencies like UNICEF and UNFPA move to Nairobi
Lini utapona ugonjwa wako wa akili?

tukupatie mfano tu:
Italy: Rome (Home to the FAO and World Food Programme)
France: Paris (Home to UNESCO)
Canada: Montreal (Home to ICAO);‎‎

Kenya ni kwaajili ya UN-Habitat (Human Settlements) bicause is the Country with bigest slums
 
Back
Top Bottom